- Thread starter
- #81
Inahitaji wanasheria wa Katiba na Haki za Binadamu kama Issa G. Shivji na Chris Maina Peter ila nahisi JK atampa Palamagamba Kabudi!
Chris maina anaweza kuwa mwenyekiti, makamu mwenyekiti atatoka Zanzibar au vice versa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inahitaji wanasheria wa Katiba na Haki za Binadamu kama Issa G. Shivji na Chris Maina Peter ila nahisi JK atampa Palamagamba Kabudi!
nimekumbuka jaji dorado vp ?
nnadhani kama anatufaa tena ni mweledi sana wa sheria