Nani amewaambia Rais Samia, ndiye Rais 2025?

Nani amewaambia Rais Samia, ndiye Rais 2025?

CCM hata wakimkataa Mzanzibari kuwa mgombea wao wa 2025 hawatonyamazisha kelele za wananchi za kutaka katiba mpya, tume huru ya uchaguzi, demokrasia, kupunguza hali ngumu ya maisha, na mengine mengi. Huyo mwengine atapewa muda wa honeymoon halafu wananchi wataanza kulalamika tena.
 
CCM hata wakimkataa Mzanzibari kuwa mgombea wao wa 2025 hawatonyamazisha kelele za wananchi za kutaka katiba mpya, tume huru ya uchaguzi, demokrasia, kupunguza hali ngumu ya maisha, na mengine mengi. Huyo mwengine atapewa muda wa honeymoon halafu wananchi wataanza kulalamika tena.
Na Wazanzibar watwendelea kuwa ni wajinga Sana kama watakubali kufanywa underdog.
 
Igwee naona mna nangana mnapashana na hata kuumizana kisa 2025 ajaye wanamjua na ndie Rais wa sasa wanaosema maneno hayo ni viongozi wa kisiasa na Serikali na wengi wao sio very highly ranking officer.

Jamani mnapata wapi huwo ujasiri ni kufumba macho na kutembea barabara ya mwendo kasi au mnajifanya hamjui mchakato.

Basi nawakumbusha tu kama ingekuwa Urais unasemewa kwenye majukwaa na kila sehemu na mtu akawa Rais basi Mh Malecela, Lowassa nk wangekuwa wameshakuwa Marais. Ila Haya ndie ajaye.
IMG-20221025-WA0164.jpg
 
Igwee naona mna nangana mnapashana na hata kuumizana kisa 2025 ajaye wanamjua na ndie Rais wa sasa wanaosema maneno hayo ni viongozi wa kisiasa na Serikali na wengi wao sio very highly ranking officer.

Jamani mnapata wapi huwo ujasiri ni kufumba macho na kutembea barabara ya mwendo kasi au mnajifanya hamjui mchakato.

Basi nawakumbusha tu kama ingekuwa Urais unasemewa kwenye majukwaa na kila sehemu na mtu akawa Rais basi Mh Malecela, Lowassa nk wangekuwa wameshakuwa Marais. Ila Haya ndie ajaye.
Kinana amesema. Hata kama anataka vijana wake Makamba na Nape kuwa viongozi ndani ya serikali na chama lkn ameshasema 2025 ni mama. Na PM naye ameshasema 2025 ni mama.
Wanamjengea confidence shield kwa ajili ya sasa lkn si wameshasema.
 
Ila kuna vitu mama anataka kuvifanya. Mimi niliwahi kuuliza hapa kama anayo au ameandaa followers na backup ya kutosha.
Na mara nyingi(sio kwa Tanzania tu), nchi nyingi, kiongozi akileta vitu vipya kabisa ambavyo hajawekewa kwenye yale mafaili ya PDB na mengine kutoka 360°, hivyo vitu vipya kufanikiwa ni ngumu, ngumu kabisa!!!
Sijui hizi R za mama kama alizikuta, aliwekewa kwenye PDB AU ameanzisha yeye kwa nia njema kabisa! Hilo silijui.
 
Lakini cha muhimu, hatutaki Rais akose uhakika wa kesho yake. Hilo ni hatari zaidi kwa kila mtu na kila kitu ndani ya nchi. Rais ahahakishiwe keaho yake. Chochote anachotamani hata kama ni kuendelea na hicho kiti milele.
Rais asiwe na frustration na wala asisababishiwe frustration.
 
Kama WAHUNI ktk chama ni 1% watimuliwe, kama CDM ilivowatimua zittow na mwigambi.

Kama huko CCM wahuni ni zaidi ya 51% nashauri mgawane fito, MKIUE na muanze UPYA maana mnaiyumbisha NCHI Kwa sasa.

Ameeeen .
Zitto na Mwigamba hawakufukuzwa kwa kuwa ni wahuni walifukuzwa kwa kuwa walitaka kumpora kihuni cheo muhuni mwenzao nae akawawahi akawafukuza kihuni
 
Urais sio uji atiii kila mtu aje arambeee na wa makadara arambe, wa Bwejuu arambe wa Mwana kwereke arambee -Dr Salmeen Amour Juma Rais za Zanzibar 1990-2000
Ni Kweli mkuu, Pohamba!!

Wambie nape, Mwigulu, Riz, kigwangala, MAKAMBA waache kuota ndoto hizo.

Urais Si uji kwamba yeyote aweza Uramba!!!
 
Mama anatutosha..hatutaki wahuni wahuni na wenye roho za kutu.

Miaka sita iliyopita ya wanyonge' uchumi wangu umeyumba Sana..
 
Mama anatutosha..hatutaki wahuni wahuni na wenye roho za kutu
Mama Ako?

Rais wa Nchi Si mama Ako!!
Si mamaetu!!!!

Mamaetu ni Tanzania.

Rais wa Nchi ni Kiongozi mkuu wa Nchi na Amiri Jeshi mkuu, Mh Samia Suluhu Hassan.

Mawaziri vijana wanatuhujumu wakijua yule ni mamaao hawezi wafanya lolote.😠😠.

Na wanaenda mbali zaidi kukitaka KITI alichokalia!!!
 
Mama Ako?

Rais wa Nchi Si mama Ako!!
Si mamaetu!!!!

Mamaetu ni Tanzania.

Rais wa Nchi ni Kiongozi mkuu wa Nchi na Amiri Jeshi mkuu, Mh Samia Suluhu Hassan.

Mawaziri vijana wanatuhujumu wakijua yule ni mamaao hawezi wafanya lolote.😠😠.

Na wanaenda mbali zaidi kukitaka KITI alichokalia!!!
..... ni heshima kubwa kumwita mama hata akiwa ni Rais. Tz ni nchi yetu sio Mama yetu.
 
Igwee naona mna nangana mnapashana na hata kuumizana kisa 2025 ajaye wanamjua na ndie Rais wa sasa wanaosema maneno hayo ni viongozi wa kisiasa na Serikali na wengi wao sio very highly ranking officer.

Jamani mnapata wapi huwo ujasiri ni kufumba macho na kutembea barabara ya mwendo kasi au mnajifanya hamjui mchakato.

Basi nawakumbusha tu kama ingekuwa Urais unasemewa kwenye majukwaa na kila sehemu na mtu akawa Rais basi Mh Malecela, Lowassa nk wangekuwa wameshakuwa Marais. Ila Haya ndie ajaye.
Tuliwaambia Sisitiza shamba la kuvunwa ni lililopandwa tu, tunda la kuokota ni la msimu tu, ifahamike ngekewa haiui ndoto za waliopanga na kupigania uhuru wao.
 
..... ni heshima kubwa kumwita mama hata akiwa ni Rais. Tz ni nchi yetu sio Mama yetu.
Rais wetu ni kiongozi wetu.

Mama hakemewi akikosea,
Mama haelekezwi, hawajibishwi, haulizwi pesa zetu zipo wapi, mama ni WA kuhurumiwa hata akikosea, haambiwi Kweli.

Kiongozi wetu hapasi kuwa hivyo.

Kuna watu wanatumia vibaya Jina Hilo kuhujumu Nchi.

Tanzania ndiyo Mamaetu. Rais ni kiongozi mkuu wetu wa Serikali.
 
Back
Top Bottom