Nani amewaambia Rais Samia, ndiye Rais 2025?

Nani amewaambia Rais Samia, ndiye Rais 2025?

Sera zipi?

Sera zenyewe ni hizi ,hatuporwi pesa zetu,

Hatufilisiwi,mikopo iko bwerere tena sekta ya kilimo ni 9%,

Kazi za ukandarasi saizi ziko nyingi Rais kaongeza bajeti na kaondoa upuuzi wa force account,

Ajira saizi ni bwerere ko walaji wanaongezeka na biashara zinatembea,

Biashara zimeanza kufufuka,

Rais hafungi mipaka na Kwa hiyo wakulima tunanufaika..

Yaani mambo ni mengi nitajaza Seva za jF bure.

Soma hiyoo 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221025-195255.png
    Screenshot_20221025-195255.png
    330.7 KB · Views: 20
  • Screenshot_20221025-195241.png
    Screenshot_20221025-195241.png
    189.8 KB · Views: 19
Igwee naona mna nangana mnapashana na hata kuumizana kisa 2025 ajaye wanamjua na ndie Rais wa sasa wanaosema maneno hayo ni viongozi wa kisiasa na Serikali na wengi wao sio very highly ranking officer.
Kwa vile Watanzania katika umoja wetu, tumeamua 2025 twende na mwanamke, Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!
Na mwanamke huyo yupo, tunakwenda naye!.
P
 
Igwee naona mna nangana mnapashana na hata kuumizana kisa 2025 ajaye wanamjua na ndie Rais wa sasa wanaosema maneno hayo ni viongozi wa kisiasa na Serikali na wengi wao sio very highly ranking officer.

Jamani mnapata wapi huwo ujasiri ni kufumba macho na kutembea barabara ya mwendo kasi au mnajifanya hamjui mchakato.

Basi nawakumbusha tu kama ingekuwa Urais unasemewa kwenye majukwaa na kila sehemu na mtu akawa Rais basi Mh Malecela, Lowassa nk wangekuwa wameshakuwa Marais. Ila Haya ndie ajaye.
Anza kumfikiria wa Kumrithi mwaka 2030, ila kwa wenye Akili tunajua kuwa 2021 hadi 2025 Rais ni Yeye ( Deiwaka ) akimalizia Awamu ya Pili ya aliyekuwa 'Boss' wake Hayati Rais Dk. Magufuli, ila kwa mwaka 2025 na Yeye sasa anagombea kama Yeye Ili ajijengee Heshima na Historia zaidi na kwa Mfumo wa Uchaguzi na Siasa za Tanzania ni kama vile ameshakuwa Rais hata kabla ya hiyo 2025.
 
Sio kila kitu ni mpaka uamuzi wa vikao, kila vyama vina utaratibu wao, utaratibu wa chama kubwa ni mgombea hapingwi mid term, hivyo hili la kumjua mgombea wa chama kubwa halihitaji vikao.
P
Mwandishi amesema wengi wenu wenye kauli hizo sio VERY HIGHLY RANKING OFFICERS,

Hoppin P na GENTA Si one of them!!!
 
ukiamini kuna Chama cha Siasa hapa ambacho hakina wahuni hilo ni tatizo la wewe kuamini sio la Chama chenyewe
Kama WAHUNI ktk chama ni 1% watimuliwe, kama CDM ilivowatimua zittow na mwigambi.

Kama huko CCM wahuni ni zaidi ya 51% nashauri mgawane fito, MKIUE na muanze UPYA maana mnaiyumbisha NCHI Kwa sasa.

Ameeeen .
 
Igwee naona mna nangana mnapashana na hata kuumizana kisa 2025 ajaye wanamjua na ndie Rais wa sasa wanaosema maneno hayo ni viongozi wa kisiasa na Serikali na wengi wao sio very highly ranking officer.

Jamani mnapata wapi huwo ujasiri ni kufumba macho na kutembea barabara ya mwendo kasi au mnajifanya hamjui mchakato.

Basi nawakumbusha tu kama ingekuwa Urais unasemewa kwenye majukwaa na kila sehemu na mtu akawa Rais basi Mh Malecela, Lowassa nk wangekuwa wameshakuwa Marais. Ila Haya ndie ajaye.
Hakuna mwingine na hatakuja mwingine Samia mpaka 2030 au kifo kitutenganishe
 
Thread za namna hii Huwa zinakuvuruga sana chawa wewe!

Maana zinasababisha ukose kufanya calculations zako kupata uteuzi MBELENI.

Anyway Nchi hii haitakuwa kamwe mikononi mwa kundi dogo.
Huyu mjinga uchawa wake kwa Sa100 umepitiliza hadi anakera
 
Kama WAHUNI ktk chama ni 1% watimuliwe, kama CDM ilivowatimua zittow na mwigambi.

Kama huko CCM wahuni ni zaidi ya 51% nashauri mgawane fito, MKIUE na muanze UPYA maana mnaiyumbisha NCHI Kwa sasa.

Ameeeen .
Thubutu weee! CCM wakubali kirahisi kugawana fito!?
 
Hizi mada kipindi cha Magufuli mlikuwa mnaleta, Mara hatagombea 2020, Mara sijui Kuna mwingine atapitishwa, Mara hivi Mara vile

Mmerudia tena huu ujinga kwa Samia. Hebu acheni ujinga mara moja.
 
Back
Top Bottom