Nani amewaambia Rais Samia, ndiye Rais 2025?

Nani amewaambia Rais Samia, ndiye Rais 2025?

Unakemea matusi na unatukana wakati huo huo!!!!

Magufuli hv aliwakosea nn, mbona alifanya MAZURI mengi sana Kwa Nchi kuliko mabaya??
Utakuwa unaishi Kwa kutegemea shushu za serikali ndio maana unasema alifanya mazuri mengi..

Kwamba wewe ulikuwa unakula raha ndio maana zile kelele za biashara kufa,watu kufanga maduka hazikukuhusu.
 
Utakuwa unaishi Kwa kutegemea shushu za serikali ndio maana unasema alifanya mazuri mengi..

Kwamba wewe ulikuwa unakula raha ndio maana zile kelele za biashara kufa,watu kufanga maduka hazikukuhusu.
Matching guy husema walipeta sana enzi za mjomba.

Alipokuja huyu kawafilisi, sijui walimkosea nn.

Anyway, uwe mvumilivu unaowapenda wakisemwa kama ambavyo mnamnanga mjomba ALOLALA asoweza jitetea.
 
Kama sijakosea naamini wenyewe wamepanga kutuletea Kutoka UPINZANI term hii.

Kuna nn kinaendelea nchini, mbona Bado 3 years watu wanawaza ajaye 2025??

Kwan aliyepo anakwama wapi??

Tusubiri
 
Nyamaza mbona hutaki kunisikia , endelea kuhubiri watu watubu achana na vuvuzela na vipofu wasioona
Sasa Watatubu vp mtumishi wasipoambiwa UOVU wao waziwazi??

Lazima waambiweRUSHWA, WIZI, UBADHILIFU, UNAFIKI, UFISADI ni DHAMBI ndipo wageuke na kutubu!!!!
 
Sasa Watatubu vp mtumishi wasipoambiwa UOVU wao waziwazi??

Lazima waambiweRUSHWA, WIZI, UBADHILIFU, UNAFIKI, UFISADI ni DHAMBI ndipo wageuke na kutubu??
Ni kweli kabisaa Mtumishi ngoja wasubiri adhabu tu hakuna namna mwenye kusikia naimani kusikia
 
Igwee naona mna nangana mnapashana na hata kuumizana kisa 2025 ajaye wanamjuwa na ndie Rais wa sasa wanao sema maneno hayo ni viongozi wakisiasa na serikali na wengi wao sio very highly ranking officer.
Jamani mnapata wapi huwo ujasiri ni kufumba macho nakutembea barabara ya mwendo kasi au mnajifanya hamjuwi mchakato.... Basi nawakumbusha tu kama ingekuwa Urais unasemewa kwenye majukwaa na kila sehem na mtu akawa Rais basi Mh Malecela, Lowasa nk wangekuwa wameshakuwa Marais... Ila Haya ndie ajaye.
Mkuu kama wamejaribu 2020 kushika sharubu za wananchi na wakafanikiwa, wewe huoni kuwa hawa wameota mikia sasa,wanaona Unyama unawezekani kwenye nchi hii??
 
Akiguswa huyu ndugu yako katika imani basi mqtakle yanaanza kupwita ila kila siku humu unamwita Magufuli mpumbavu na unachekewa tu!
Mimi wa Njombe najuwaje na Imani na Waislamu?

Sikumbuki.kama Njombe kuna hata msikiti..

Siko hapa kwa ajili ya jinsia zenu,Imani Wala mahaba niko hapa kwa ajili ya sera za Uchumi na biashara.
 
Igwee naona mna nangana mnapashana na hata kuumizana kisa 2025 ajaye wanamjua na ndie Rais wa sasa wanaosema maneno hayo ni viongozi wa kisiasa na Serikali na wengi wao sio very highly ranking officer.

Jamani mnapata wapi huwo ujasiri ni kufumba macho na kutembea barabara ya mwendo kasi au mnajifanya hamjui mchakato.

Basi nawakumbusha tu kama ingekuwa Urais unasemewa kwenye majukwaa na kila sehemu na mtu akawa Rais basi Mh Malecela, Lowassa nk wangekuwa wameshakuwa Marais. Ila Haya ndie ajaye.
Ushabet tayari
 
Back
Top Bottom