grand millenial
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 4,014
- 5,655
Kujiangaisha na maswali makuubwa na wakati kuna vitu vingi hatuvijui kuhusu dunia peke yake .
《Caprichar o teu sorriso》
《Caprichar o teu sorriso》
Wanasema lakini ukiwaulizia ushahidi hawana
Nimecheka sana, watu wanapo shindwa kujibu hoja, huamua kujivika ukubwa,mpaka ukubwa wenyewe una shangaa.Wewe utaruka na hutoweza kujibu kwasababu umekopi na kupaste kitu ambacho huwezi kukitetea, hiyo ndiyo shida ya kukopi na kupaste bila kutafakari, Muite hapa huyo uliyekopi hiyo post nijadiliane naye uone kama atachomoka.
Nakuuliza swali, kwahiyo anae uliza kwamba Je Mola ameumbwa hana sifa hizo ?How comes when some one asks; Was God created??!! ------- he be regarded as an ignorant, a lying, a deceiver an un intellectual , and a sophist ???!!
Kaiongopea nafsi yake na kuidangany pia. Kwa akili yako muongo ni mpaka amuongepee mtu fulani nini ?Kwakuhoji kwake anakuwa lying, kamdanganya nani??, anakuwa deceiver kamuongopea nani??
Angekuwa anajua angeuliza ? Kijana mbona unakiwa mjinga kiasi hiki mzee ? Unajua mtume amefundisha nini mtu anapoijiwa na swali kama hilo ? Soma katika "Sahih Muslim" hadithi namba 343, 344, 345, 349 na 351.anakuwa Ignorant kwa ujinga upi wa kuuliza wakati majibu yapo ndani ya Qur'an??!!----
Kijana unacakili ndogo saba, hili huja baadae, na anaweza akakubali au akakadhibisha, kwahiyo hili halitushughulishi, sisi tunaangalia hali ya anae hoji kwanza,pindi anapo hoji anakuwa katika hali gani na anahoji nini ?ulimpatia aya kuonyesha kwamba Mungu hajaumbwa na akashikilia kwamba kaumbwa??--- kama atashikilia kwamba kaumbwa hapo ndipo anakuwa mjinga.
Naona huna hoja, unalialia.Midomo yenu ni mikali kama kisu kwa maneno ya kashfa utadhani sio Waislamu!!!--- eti kutusi watu ndiyo haki yao!!🤣
Onyesha hilo, ila nikiitwa mjinga hali ya kuwa mjinga kweli siwezi kupinga, sababu najua lipi sina elimu nalo.Wewe ukiitwa mjahili mbona huwa unafura kama koboko aliyeona mawindo.
Usikimbie kivuli chako na usikimbie wajibu wako, wewe umejuaje kama hakuna huo ushahidi, hapo nduo unatakiwa ututhibitishie hilo. Tatizo lenu mnapenda sana "Kila wa kala" na kukosoa tu ila mnapotakiwa mtoe ushahidi mnakimbia.Mimi nimesema hakuna ushahidi alikuwepo...sasa kama unabisha weka ushahidi kama alikuwepo..usiombe ushahidi tena kwangu ninayesema hakuwepo
Wewe mbona huweki ushahidi wa madai unayo dai, zaidi ya kukimbia. Sisi ushahidi tunao,ila itifaki lazima zizingatiwe,maana kama kusema tu kila mtu anaweza kusema,lakini ushahidi ndio unawafunga midomo wasemaji hovyo kama wewe.Wanasema lakini ukiwaulizia ushahidi hawana
Mungu ni roho(energy) yaani ni nishati hai na tafsiri ya nishati kwa kiingereza inasema hivi... Energy can neither be created nor destroyed.. It can only be transformedThe question: "If God is the creator, then who created the creator?" is illegitimate because by definition, the Creator is uncreated. He is eternal, without beginning, without end and all affairs return back to Him: (وَأَنَّ إِلَىٰ رَبِّكَ ٱلْمُنتَهَىٰ) "And that to your Lord is the return (of all beings and affairs) (and of all perfections in attributes)." (53:42).
Thus to ask who or what created something that is uncreated is the way of:
a) an ignorant person devoid of intellect,
b) a lying deceiver, a sophist.
Note : Maelezo haya mafupi nime "copy" na ku "paste" toka kwenye tovuti iitwayo "www.aboutatheism.net", mnaweza tembelea huko mpate faida.
Tujadili hili, kwa wale wote ambao huuliza swali hilo, waje watuambie kwanini wanauliza swali hilo.
Ahsante.
Jurjani (Zurri)

No its not.. Rather its one of the challenging oneThe most ridiculous question you ever asked.

Kwahiyo Potential Energy, Kinetic Energy nazo ni Mungu ? Hili ulilo andika unatakiwa uliwekee ushahidi.Mungu ni roho(energy) yaani ni nishati hai na tafsiri ya nishati kwa kiingereza inasema hivi... Energy can neither be created nor destroyed.. It can only be transformed
Kwamba Mungu ni nishati (hai) na nishati haiumbwi wala haiharibiri bali huweza tu kubadilika ama kubadilishwa.... Mungu sio mwili Mungu ni roho na roho haiumbwi wala haiharibiwi (haiharibiki)
Jr![]()
God is a soul and the soul is energy... The energy can neither be created nor destroyed...In Greek mythology there are many gods. They are born but immortal. Which God are you talking here. A Muslim God (Allah) or Christian God (Jesus)?
Sent using Jamii Forums mobile app

Hii mijadala huwa haiwezi zaidi ya kupoteza muda na kukimbia maswali.Cc Kiranga
Sijauliza hilo swali, bali nimewasilisha swali la Wajinga fulani, ambao huwa wanajiona wana akili na kufikiria sana kuliko wengine.Swali linatisha ilo kama kweli dini imelala usingeuliza kitu kama hiki..au mpagani sheikh..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha why me?
Hahaha why me?
Anyway, sio kwamba hawaamini uwepo wa Mungu bali huyo unaemwita 'Mungu' wao wanaweza kuwa wanajina lao tofauti.
In short ni kuwa wanaamini kuwa kuna supernatural being ambae ndio source ya kila kitu. Sasa kwakuwa wengine wanamwita Mungu wao sio lazima wamwite Mungu wana jina lao.
Nimecheka sana, watu wanapo shindwa kujibu hoja, huamua kujivika ukubwa,mpaka ukubwa wenyewe una shangaa.
Mimi nipa namuwakilisha, jibu tu maswali niliyo kuuliza kisha tuendelee.
Nakuuliza swali, kwahiyo anae uliza kwamba Je Mola ameumbwa hana sifa hizo ?
Je anakuwa anamjua Mola ? Asie mjua Mola ni mjinga au sio mjinga ?
Je anakuwa sio muongo ? Kweli Mola ameumbwa ?
Je anakuwa sio "Sophist" ? Maana ya "Sophist" na nukuu : "
Sasa ukiwa unabisha jambo, hakikisha una elimu nalo bwanamdogo.
- a paid teacher of philosophy and rhetoric in Greece in the Classical and Hellenistic periods, associated in popular thought with moral scepticism and specious reasoning.
- a person who reasons with clever but false arguments.
Kaiongopea nafsi yake na kuidangany pia. Kwa akili yako muongo ni mpaka amuongepee mtu fulani nini ?
Angekuwa anajua angeuliza ? Kijana mbona unakiwa mjinga kiasi hiki mzee ? Unajua mtume amefundisha nini mtu anapoijiwa na swali kama hilo ? Soma katika "Sahih Muslim" hadithi namba 343, 344, 345, 349 na 351.
Kijana unacakili ndogo saba, hili huja baadae, na anaweza akakubali au akakadhibisha, kwahiyo hili halitushughulishi, sisi tunaangalia hali ya anae hoji kwanza,pindi anapo hoji anakuwa katika hali gani na anahoji nini ?
Naona huna hoja, unalialia.
Onyesha hilo, ila nikiitwa mjinga hali ya kuwa mjinga kweli siwezi kupinga, sababu najua lipi sina elimu unalo.
Ahsante, mpaka sasa bado hujaweka hoja.
Sasa kama unashindwa kujibu hoja zangu na huelewi unachokiandika,utawezaje kujadiliana na wakubwa zangu, acha kuikosea adabu elimu kijana.Mtu anahoji iweje aitwe mjinga kwa kuhoji?? Kama asipohoji na anaamini kwamba Mungu kaumbwa aitwe nani??!!
Kuuliza kwake kunamfanya awe mjinga?? muongo, maamuma nk??
Nakwambia mlete hapa huyo ulipokopi hiyo post, hiyo ndiyo shida ya Copy-paste hovyo.