Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,833
- 145,697
1.Define Mungu ni nini.Ndio unanishambulia kwa sababu hata mie ningetaka ningekushambulia kwa, kushindwa kutofautisha uthibitisho na definition.
Tatizo siku zote nakwambia unaupenda ubishi ila hauwezi na ndio maana unatoka nje ya mada na kuanza kuni attack hauwezi kusimamia hoja yako hadi mwisho, wewe ilimradi ubishane tu.
2.Thibitisha Mungu yupo.