February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,205
- 3,059
Hekaya za abunuasi...ukifuatilia kwa undani hao watu sio wewe, nawewe unasikiaga tu...wengine wanalipwa huko wanakodai wanapona wengine wanaenda hawaumwi...wengine hawaponi ila "kwa imani" wana'declare wamepona.Mfano matatizo ya kiafya kwa maana wapo watu ambao wameumwa na kuzunguka sana mahospitalini na kushindwa kuonekana matatizo yanayowasumbua hivyo kushindwa kupata tiba na mwishoe huishia kuamua kwenda kwenye imani na hupata tiba, haya yapo sana kwenye jamii zetu na si story za kufikirika. Huo ni mfano mmoja tu ila yapo mengi matatizo ya kimaisha ambao tunaona watu wakienda kutatua matatizo yao kwenye kutumia imani.
Ingekuwa kweli kwanini watu mtaani wahangaike na ARV?? Kwanini nchi zihangaike na UKIMWI??
Kwanini watu wasipelekwe kwenye imani huko wakapone?
