Wayo
Senior Member
- Aug 18, 2017
- 179
- 420
Ndio kitu gan hiki?Maulana
Ndio kitu gan hiki?Maulana
Muumba wa mbingu na ardhi.Mungu gani unamuoengelea hapa?
Acha uoga. Kwanini hujibu maswali unayoulizwa ?Mungu gani?
1.Define Mungu ni nini.
2.Thibitisha Mungu yupo.
Tujadiliane kimantiki.
1.Define Mungu ni nini.
2.Thibitisha Mungu yupo.
Tuthibitishie kama Mungu hayupo.Niulize mimi maswali...naona mnapeana moyo
Be more specific kwasababu according to Wikipedia kuna atleast Mungu 135 ambao wote wana claim waliumba mbingu na nchi.Muumba wa mbingu na ardhi.
Mungu yupi kwanzaTuthibitishie kama Mungu hayupo.
Onyesha hao ulio waweka hapa wapi wamedai kuumba mbingu na ardhi ?Be more specific kwasababu according to Wikipedia kuna atleast Mungu 135 ambao wote wana claim waliumba mbingu na nchi.View attachment 1461174
Kuwa serious basi...unataka nioneshe data za Mungu 135??Onyesha hao ulio waweka hapa wapi wamedai kuumba mbingu na ardhi ?
Tuendele....
Mkuu nenda hospital kuna kiuvimbe kichwani Kwako.. uvimbe ukikuondoka akili zako zitakuwa sawa... yaani utakuwa unahakiki kabla hujazungumza jambo...Halafu kuna dini ya Budha ambayo haiamini kuwa kuna Mungu
Wewe ndio unatakiwa uwe serious, sababu unachokiandika kipo kinyume na uchodai, huwezi kusema miungu ulio wataja hapo wanadai wameumba mbingu na ardhi halafu ukiombwa ushahidi utake mtu awe serious ? Unafikiri kuna userious ganu zaidi ya huu ninao kutaka unipe ushahidi.Kuwa serious basi...unataka nioneshe data za Mungu 135??
Wewe sema Mungu yupi unayemuongelea
Kwani wako wengi?Mungu gani unamuoengelea hapa?
Asiyejadili kimantiki ni wewe, nilikuuliza kwanini unaniambia nithibitishe? hujanijibu ila umekazania tu kuniambia nithibitishe Mungu yupo.Tujadiliane kimantiki.
1.Define Mungu ni nini.
2.Thibitisha Mungu yupo.
MamiaKwani wako wengi?
Unaniuliza Mungu gani? halafu hapo hapo unaniambia ni define Mungu ni nini? Na tena hapohapo unadai na uthibitisho?Mungu gani?
1.Define Mungu ni nini.
2.Thibitisha Mungu yupo.
Sasa hatutaki utoto na kupotezea watu muda, kama jambo huna elimu nalo kaa kimya, sio unajifaragua halafu ukiulizwa unalia lia. Narudia tena weka ushahid wa hayo madai wa hao Miungu ulio wataja kwamba wanadai wao ndio wameumba mbingu na ardhi.
Mola wangu mimi nimeshasema huko juu ni yule aliyeumba mbingu na ardhi,halafu unarudia kile nilichokiandila huko juu. Hatulei ujinga sisi, kama huna jibu kaa kimya.
Ni kwa vp hiyo yote ni miungu?Mamia