UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 17,499
- 8,796
Maswali yenye kuhusu nini unataka nikuulize?Niulize mimi maswali...naona mnapeana moyo
Maswali yenye kuhusu nini unataka nikuulize?Niulize mimi maswali...naona mnapeana moyo
Kwasababu before utandawazi kila jamii ilikuwa na mungu wakeNi kwa vp hiyo yote ni miungu?
Kuhusu munguMaswali yenye kuhusu nini unataka nikuulize?
Maana ya ushahidi unatakiwa kunyambua kile ulichokisema.Wewe ndiyo unataka tupotezeane muda..sina muda wa kuanza kuanalyse miungu 135 kila mmoja na wapi ali claim ameumba
Chakukusaidia nenda hapa Category:Creator gods - Wikipedia ujichagulie mungu yupi unamtaka itakudirect wapi anadai ameumba
Hadi hapa ninatafuta ni wapi jamaa anakwama kukuelewa, hata sipaoni.Maneno mengi huko na huko, na wewe unapoteza muda tu hapa.
Nasema hivi; mtu anayehoji au kuuliza huyo siye mjinga.
Angalia, kuna hatua hizi ujifunze;
1--- Ignorance
2--- Curiosity
3-- knowledge.
Ignorance ni yule anayeamini na kutenda mambo ya kijinga bila kujua na hataki kujua wala kujishughulisha kutaka kujua.
Curious ni yule aliyetoka kwenye ujinga na anataka kujua, hapa sasa ndipo ule msemo unapo hold kwamba "kuuliza sio ujinga" anayeuliza sio mjinga.
Knowledge hii ni hatua ya mtu baada ya kujua anakuwa mwerevu, lakini akishajulishwaa na akarudia kwenye Ignorance huyo anakuwa ignorant.
Sasa tufanye wewe hukuwa unajua kama Mungu hajaumbwa, na ukawa unahoji kuumbwa kwake, je na wewe ulikuwa; lying (Mdanganyaji), deceiver (Muingopeaji), un intellectual (usiye na taaluma), a sophist nk???--- kwa kuhoji tu unapewa hayo majina???--- je vipi yule ambaye anasema na kuamini kwamba Mungu kaumbwa, tumuite nani???
Je hakuna Mungu au hakuna utibitisho tu wa kuwepo kwake?Kuhusu mungu
Uungu wao ni upi ndio maana nikauliza ni vp hao ni miuungu?Kwasababu before utandawazi kila jamii ilikuwa na mungu wake
Mungu yupi kwanza?Je hakuna Mungu au hakuna utibitisho tu wa kuwepo kwake?
Kila jamii inasababu zake binafsi za kumuita mungu...wengine kwasababu analeta mvua tukimuomba, wengine kwasababu analeta jua muda wa baridi nk. Nk.Uungu wao ni upi ndio maana nikauliza ni vp hao ni miuungu?
Kabla ya kubishana nani alimuumba Mungu ungeanza kwa kusema Mungu yupi...kama ni Allah tunamjua aliumbwa na Muhammad nk. N.k
Labda ungeanza kwa kutuonesha kwa thibati kabisa huyo mungu unayemzungumzia
Hii nlikuwa sijui..kumbe allah alikuwepo before Muhammad?Lete ushahidi kuwa Allah hakuwepo kabla ya Muhammad s.a.w.lete ushahidi wa kisomi usilete pumba zinzinazo tengenezwa kichwani
Wanaodai uumbaji ni watu kwasababu huyo Mungu(na miungu yote) hakushuka na kusema 'mimi niliumba'Maana ya ushahidi unatakiwa kunyambua kile ulichokisema.
Mathalani katika hii link, nimeenda kwa huyu Abira na hiki ndicho kilichoandikwa kumuhusu yeye :
Abira is the creator god in the mythology of the Antioquia people of Colombia.
Hapa kuna maswali mawili, je wanao dai uumbaji na waduasi wa huyo Abira au Abira mwenyewe ? Hapa pia unatakiwa uweke ushahidi.
Huu sio ushahidi, sababu hauonyeshi kile ulichosema kwamba wamedai uumbaji, hapa ulitakiwa utuonyeshe wapi huyu Mungu amedai uumbaji, kwa maana uweke ushahidi toka kwenye vitabu a marejeo ya mungu huyo. Nasisitiza ya kuwa acheni utoto.
Nipo ....
Hii nlikuwa sijui..kumbe allah alikuwepo before Muhammad?
Aaah! sasa hiyo quran unayoiquote imekuja kabla au baada ya Muhammad?Note before Muhammad only bt before every thing ref 2:30 qur'an
Aaah! sasa hiyo quran unayoiquote imekuja kabla au baada ya Muhammad?
Huyu anayeelezwa kwenye vitabu vya dini.Mungu yupi kwanza?
Na kila neno lina maana yake,mleta jua au mvua ndio anaitwa Mungu?Kila jamii inasababu zake binafsi za kumuita mungu...wengine kwasababu analeta mvua tukimuomba, wengine kwasababu analeta jua muda wa baridi nk. Nk.
Dini zipo karibi 50k....dini ipi?Huyu anayeelezwa kwenye vitabu vya dini.
Kwanini huko juu ulinasibisha madai hayo kwa hai miungu na hapa unakanusha unasema wanao dai ni watu ? Batilisha kauli yako ya kwanza.Wanaodai uumbaji ni watu kwasababu huyo Mungu(na miungu yote) hakushuka na kusema 'mimi niliumba'
Niambie kwanini aje duniani ? Unajua kitendo chako cha weee kutaka kuulizwa maswali kuhusu mungu, kwa watu kama sisi kilionyesha ni kwa nanmna ulivyo mjinga juu ya hilo unalo taka uulizwe maswali kwalo. Hiki unacho kiandika kinazidi kuthibitisha hilo.Au wewe unamjua mungu aliyewahi kuja duniani kutuambia yeye aliumba au aliandika kitabu chake?
Wewe unaweza usimuite mungu ila jamii fulani ikamuita mungu...wagiriki kwa mfano wana miungu mingi(12 main na 400 minor) kila mungu ana kazi yake.Na kila neno lina maana yake,mleta jua au mvua ndio anaitwa Mungu?