February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,205
- 3,059
Post ipi?Huu ninao uandika hapa ni UKWELI mtupu.
Post ipi?Huu ninao uandika hapa ni UKWELI mtupu.
Humu humu, yaani kila ninacho kiandika ni UKWELI mtupu.Post ipi?
Ukisha jiamini hakuna haja ya kutilia mkazo kwasababu zipo ishara zinazojielezea namna ulivyo. Wewe umehisi natilia mashaka akili yako kwasababu na kutokana na maswali yayo kuuliza.Nacheka sana, hii ni lugha ya kutilia mkazo na kukat ya kuwa najiamini na hakuna kinyume cha hiki ninachokiandika. Hii ndio maana yake.
Kisha nikasemaje baada ya hapo ? Nikasema ya kuwa nimefunika kombe mwana haramu apite ili nikupe fursa ya kutuonyesha uthibitisho wa kutokuwepo kwa Mola, lakini ukashindwa.
Nakukumbusha tu kwamba ulishindwa, hitimisho lako ni kuwa kwamba kitu ambacho hakipo hakithibitishiki, swali likaja, "Umejuaje ka hakipo? ". Mpaka unakufa huwezi kujibu swali hili.
Unakubali kwamba wewe uliandika "Kitu ambacho hakipo hakithibitishiki" au kama ulivyosema.
Sasa ndio maana, siwezi kupoteza muda wangu kukutaka unipe ushahidi wakati najua huna.
We hiyo task unampa nani aifanye?Nimekwambia rejea mijadala yote tuliyo jadiliana mimi na wewe ikatokea nikakutaka ushahidi huo, hukuweka sasa kama unataka kupoteza muda, muda wa kupoteza sina kijana.
Hakuna goli lililohamishwa, pinga ukweli ninao uandika hapa.
We hiyo task unampa nani aifanye?Nimekwambia rejea mijadala yote tuliyo jadiliana mimi na wewe ikatokea nikakutaka ushahidi huo, hukuweka sasa kama unataka kupoteza muda, muda wa kupoteza sina kijana.
Hakuna goli lililohamishwa, pinga ukweli ninao uandika hapa.
Unaelewa maana ya kufunika kombe mwanaharamu apite ?We hiyo task unampa nani aifanye?
Una post zaidi ya 10k na mimi nina post zaidi ya 10k halafu unanipa kazi mimi so unataka nikapekue kutoka post ya 1 kwanza hadi 10000+ ili kutafuta post ya zurri inayoonesha sijajibu swali lake?
Wewe kama unasema hujajibiwa, na mimi madai yangu ni kwamba nimekujibu sa kwanini usiweke ushahidi hapa?
Mimi nasema nimekujibu swali hilo na ulikubaliana na majibu yangu ushahidi upo kwenye mada yako iliyotangulia kabla ya hii.
Sema mbele ya umma, unakubali au unakataa kua haukukubaliana na jibu langu bali nakuzushia tu ?
Naona unanirudisha na hoja huna.Ukisha jiamini hakuna haja ya kutilia mkazo kwasababu zipo ishara zinazojielezea namna ulivyo. Wewe umehisi natilia mashaka akili yako kwasababu na kutokana na maswali yayo kuuliza.
"Nikasemaje baada ya hapo ndio nini?"
Kukiwa kama kuna kitu ulikisema baada ya hapo hiyo inamaanisha ulichokisema kabla ya hapo hakipo?
Utasemaje nilishindwa hitimisho langu na wakati we ndiye uliridhika na majibu yangu kuonesha kua nimekujibu vyema kama ulivyotaka na ndio maana nikahitimisha mjadala?
Kuna mtu alikushikia panga kwamba ukubaliane na manibu yangu au ilikua ni hiari yako kutokana na facts nilizokupa mpaka ukadata?
Hicho ni kijibwagizo kinachotumiwa na watu ambao wamefinga utaniUnaelewa maana ya kufunika kombe mwanaharamu apite ?
Tuokoe muda, si ulijibu hilo swali, tuwekee hilo jibu watu wasome.
Kuwa serious kijana, nani amekwambia maneno hayo ?Hicho ni kijibwagizo kinachotumiwa na watu ambao wamefinga utani
Kwaiyo unataka kuleta habari mpya hapa kua mimi nawewe ni watani siyo?
Unataka kuficha aibu yako ambayo nimekuumbua kupitia mwanya huo?
Umeniumbua tena ? Wapi hapo ?Hicho ni kijibwagizo kinachotumiwa na watu ambao wamefinga utani
Kwaiyo unataka kuleta habari mpya hapa kua mimi nawewe ni watani siyo?
Unataka kuficha aibu yako ambayo nimekuumbua kupitia mwanya huo?
Watu wanatumia kauli hii kusuluhisha magomvi, kuwa nasihi watu, wewe unaleta uongo na kuihusisha na mambo ya utani. Waulize Waswahili wakwambie ni wapi hutumika kauli hii, usijiandikie tu ilimradi bwana mdogo.Hicho ni kijibwagizo kinachotumiwa na watu ambao wamefinga utani
Kwaiyo unataka kuleta habari mpya hapa kua mimi nawewe ni watani siyo?
Unataka kuficha aibu yako ambayo nimekuumbua kupitia mwanya huo?
1. Mbona unarudia swali nimekujibu kwamba uthibitisho una definition ndani yake.1.Ni vp uanze kudai uthibitisho wa kitu ambacho hujakijua kwanza? Mfano wewe hujui Mungu ni nini ungeuliza kwanza Mungu ni nini? Baada ya kujua Mungu ni nini ndio ungeona kuwa unahitaji kuthibitishiwa au hakuna uhitaji wa uthibitisho.
2.Point bado ipo palepale kwamba kwanini ukimbilie kuhitaji uthibitisho ikiwa kuna mazingira kama hayo?
Halafu mtu kusema Mungu wake ni kitu fulani hiyo haiwi definition ya Mungu.
"Kusuluhisha Magomvi?"Watu wanatumia kauli hii kusuluhisha magomvi, kuwa nasihi watu, wewe unaleta uongo na kuihusisha na mambo ya utani. Waulize Waswahili wakwambie ni wapi hutumika kauli hii, usijiandikie tu ilimradi bwana mdogo.
Weka mashahidi kama ushahidi umekushindaUmeniumbua tena ? Wapi hapo ?
Labda ushawahi kuuona uchawi au hujawahi lakini mimi Sijawahi na naamini upoo na watu wote wanaamini upo na wewe ukiwemo. Wewe toka umekuwa umnaamini kuna Hewa lakini kamwe hujawai kuiona so sio kila kitu lazima ukione ili Uamini kipo lakini kaa Ukijua MUNGU YUPO na isingekuwa Mungu leo hii usingekuwa na jeuri ya kuandika ulichoandika.Mungu hayupo, mwanzoni ilianza kama story za hadithi tu, sema mabadiliko yanavyotokea falme nyingine zikaanza kutumia dini kama njia ya kucontrol watu, watu walivyo vilaza wakashika wanayoambiaa 100%, mwanzoni kulikua na miungu kibao ila muda unavyozidi kwenda falme yako kama ina nguvu zaidi watu wanaishia kukubali kua mungu wako ni sahihi kuliko wa kwao, huyu mungu wa wakristo wa sasa amekua very popular kuliko miungu mingine sababu tu alibebwa sana na falme kubwa kama za waroma. Ila yeye naye ni story tu hakuna lolote.
Ukitaka kuamini kua miungu yote imetungwa tu na haipo in reality soma vitabu vyao tu, anza page moja unafunua uone upuuzi uliojaa, very inconsistent, hapa unaambiwa alifanya hiki tarehe 1 page ya pili unaambiwa hakufabya hicho alifanya kinginemuumba ulimwengu hawezi kua kilaza namna hiyo hajui hata kuandika kakitabu kuelezea story yake.
So at the end of the day mungu hayupo, hakuna aliyewahi kumuona, hakuna aliyeona muujiza wowote zaidi ya coincidences au kuchezewa mazingaombwe, wengine wana-hallucinate tu alafu wanakuja kusema ni mungu![]()
dumb.
Ukiomba proof badala ya kuja na kitu kinachoweza kuprove wanakuja na kifungu kutoka kwenye kitabu chao feki, sio njia ya kuprove hiyo, ukitaka kuprove huwezi tumia kitu ambacho tunakipinga tumia source nyingine au tuambie tutengeneze experiment flani itakayofanya tuprove kua mungu kweli yupo.
Tuliza akili kijana, usome kwanza ndio ujibu hoja, nani amesema mimi na wewe tuna magomvi ?"Kusuluhisha Magomvi?"
Kwaiyo mimi nawewe tulikua na magomvi siku hiyo?
Iwe magomvi au kivyovyote utavyoamua kumaanisha ila lile neno halitengui kauli yako kua hukukubaliana na jibu langu
Hujaona ufafanuzi wangu kijana.Weka mashahidi kama ushahidi umekushinda
Maelezo yako kwamba sijawahi kujibu swali lako ebu tafuta shahidi.
Na maelezo yangu niliyoyatoa kua ulikubalina na majibu yangu shahidi yangu ni wewe mwenyewe. Sasa weka nukuu yako uliyokubali majibu yangu halafu tafuta shahidi wako akane nukuu yako.
Tatu, hajakatazwa mtu asihoji amekatazwa mtu kuhoji ujinga na katila kuhoji ujinga ndio tunawapata hao wazandiki, wajinga kama wewe, na mfano wenu.
Hahaa kwani haujawahi kuona mtu akifa ?
Swali gani hili ... Maustadhi bwana
Sent using Jamii Forums mobile app