Wewe ndiye CHIZI unayepanga kwamba YEYOTE anayehoji kutaka kujua kama Mungu ameumbwa eti ni Muongo, tapeli, asiyekuwa na taaluma nk, UCHIZI wako upo hapa, kwamba Unajifanya wewe ni Mungu kama Firauni kuingia ndani ya nyoyo za watu na KUJUA kwamba YEYOTE anayeuliza swali hilo ni tapeli nk, akili ya aina hiyo ni ya KIpumbavu KWELI na KIJINGA, ni ya kijinga kwasababu licha ya wewe kufundishwa kwamba sio sawa unachosema umeng'ang'ania tu KAMA KUPE upuuzi, ujinga na USHIRIKINA.
Sasa hapo ndipo utakapoona mjinga ni nani kati ya anaye uliza kuumbwa kwa Mungu na anayeshikilia kuwadhania waulizaji WOTE wa swali hilo eti wao ni WAONGO ,MATAPELI na WAJINGA.
Hiyo ndiyo shida ya kukaa vijiweni na kunywa alkasusi na kahawa ukidhani unaongeza OMEGA 3 kichwani kumbe ni bure.
Watu wa aina yenu ni kama kansa katika jamii kwa upotoshaji kamwe hamstahili kuachwa kuhadaa umma ni lazima takataka zenu ziondolewe mara moja pindi zionekanapo, takataka za unazookoteza mitandaoni hovyo kutoka kwa usiowajua na kuwaita eti WAALIMU WAKO huo ni ujinga na upumbavu na ukosefu wa AKILI kuokota CHOCHOTE bila ya upembuzi yakinifu. Zinduka wewe, mimi ni mtu mwema kwako.