Hawa wajomba madrassa wamekaririshwa kuomba uthibitisho wa vitu ambavyo havipo.Mtu anayetaka uthibitisho wa kitu hahitaji kuwa na definition, kudai uthibitisho wa kitu ni kudai definition ya kitu, kwa sababu, hutakiwi kuthibitisha kitu bila kuki define.
Kwa hivyo, nilivyotaka uthibitisho Mungu yupo, hapo cha kwanza kujibiwa ilikuwa definition.
Wewe mpaka sasa hujaweza ku define Mungu ni nini na hujaweza kuthibitisha Mungu yupo.
Define Mungu ni nini.
Thibitisha Mungu yupo.
Mimi hii imani naipenda sanaHalafu kuna dini ya Budha ambayo haiamini kuwa kuna Mungu
HahaaaNaelewa mistari kisha naichambua kwa akili yangu mwenyewe kupata kitu cha ukweli.
Hata Bible na Qur'an kuna vitu nakubaliana navyo, vingine navikataa.
Pambana na hali yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Well saidKabla ya kubishana nani alimuumba Mungu ungeanza kwa kusema Mungu yupi...kama ni Allah tunamjua aliumbwa na Muhammad nk. N.k
Labda ungeanza kwa kutuonesha kwa thibati kabisa huyo mungu unayemzungumzia
Kudai uthibitisho wa kitu ni kudai definition ya hicho kitu?!!Mtu anayetaka uthibitisho wa kitu hahitaji kuwa na definition, kudai uthibitisho wa kitu ni kudai definition ya kitu, kwa sababu, hutakiwi kuthibitisha kitu bila kuki define.
Kwa hivyo, nilivyotaka uthibitisho Mungu yupo, hapo cha kwanza kujibiwa ilikuwa definition.
Wewe mpaka sasa hujaweza ku define Mungu ni nini na hujaweza kuthibitisha Mungu yupo.
Define Mungu ni nini.
Thibitisha Mungu yupo.
HahaaaKwasababu hakuwepo kabla ya Muhammad... Au una ushahidi alikuwepo before Muhammad?
Wanasema without uthibitisho so hatuwezi kuamini hadithi za esopo ..
Huna hoja kijana, unaweka maana kisha unaipinga na kuchagua maana, nakupangiana maana bila kukosoa maana. Hapa ndio nacheka sana.
Umeshindwa kujenga na kuandika makosa mengi, hujajibu maswali, unataka ujadiliane na wakubwa zangi, aisee acha kuikosea adabu elimu.
Naona umelivamia tena neno "bida'a" kijana. Kwanza kule juu ulirekebisha kutoka "Edward" kwenda "Richard" ?
Nasubiri hoja zako zinazo kosoa hili, kuanzia Qur'aan na Hadithi hujaweka tangu jana analialia tu.
Ahsante.
SureKwa sababu ni kitu cha kufikirika tu hakipo kwenye uhalisia, hivyo kitu cha kufikirika hakina ushahidi.
Basi mimi sio kiranga...naomba definition ya MunguKudai uthibitisho wa kitu ni kudai definition ya hicho kitu?!!
Ina maana mwenye kutaka uthibitisho wa kitu ni kwamba hakijui hicho kitu ni nini?
Hahaaa umejibu vyema sanaUlichomalizia kwenye mada yako ni hiki
"Tujadili hili, kwa wale wote ambao huuliza swali hilo, waje watuambie kwanini wanauliza swali hilo.
Ahsante.
Jurjani (Zurri)"
Nukuu hii haijibu swali langu ambalo mi nimekuuliza
Safi SanaHuyo jamaa ni kundi moja na wewe, unawezaje kumwita mtu Sophist, deceiver, un intellectual, kwa kuhoji tu; Mungu kaumbwa na nani??
Sasa kama angeamini bila kuhoji kwamba Mungu naye ameumbwa hapo utamwitaje??!!--- hapo ndipo unatakiwa umwite ignorant kwa kuamini ujinga kwamba Mungu kaumbwa.
Mtu anayehoji au kuuliza huyo siyo mjinga bali mtu anayeamini na kushikilia ujinga huyo ndiye mjinga, au hujasikia kauli hii; "KUULIZA SIO UJINGA"???--- wewe ni mtu wa wapi??, una copy-paste na kutetea vitu vya ajabu!!!
Mtu anayehoji huyo anaitwa "Curious" na ukimwita mjinga ni tusi.
Halafu pia unatetea mambo ya ajabu au hujui English??, eti mtu anayehoji aitwe deceiver??!!, hiyo ni sawa???
Angalia maana ya asili ya neno; Sophist uone, Sophist walikuwa ni waalimu na wanataaluma wa kigiriki enzi hizo, sasa utasemaje a Sophist awe ignorant? ?!!.
Elimu zenu zimejaa viburi na kutusi watu, hamuwezi kufundisha watu kwa hekima na kauli njema ila matukano ndiyo mitaala yenu.
Wakitaka uthibitisho wa kitu ambacho hakipo wanione mimiHawa wajomba madrassa wamekaririshwa kuomba uthibitisho wa vitu ambavyo havipo.
Lengo lao mzungushane mpotezeane muda ila mwisho wa siku hamna kitu cha maana mtakachodiscuss
Mtaishia kubishana tu, huyu anataka umpe uthibitisho wa kitu ambacho hakipo, huyu naye anataka umpe uthibitisho wa kutokuwepo hicho kitu...
mwisho wa siku hawajui jukumu la kutoa uthibitisho liko juu ya yule anaedai uwepo wa hiko kitu
ndomaana watu wanaishia kuwaona wajinga.
So save ur energy.
Kifo nilishakishuhudia
Hahaaa mtoa mada anafit hapo mwenye namba 1. Anachokiamini yeye huwa analazimisha wengine wakiamini hivyo hivyo pia hata kama hakina logicManeno mengi huko na huko, na wewe unapoteza muda tu hapa.
Nasema hivi; mtu anayehoji au kuuliza huyo siye mjinga.
Angalia, kuna hatua hizi ujifunze;
1--- Ignorance
2--- Curiosity
3-- knowledge.
Ignorance ni yule anayeamini na kutenda mambo ya kijinga bila kujua na hataki kujua wala kujishughulisha kutaka kujua.
Curious ni yule aliyetoka kwenye ujinga na anataka kujua, hapa sasa ndipo ule msemo unapo hold kwamba "kuuliza sio ujinga" anayeuliza sio mjinga.
Knowledge hii ni hatua ya mtu baada ya kujua anakuwa mwerevu, lakini akishajulishwaa na akarudia kwenye Ignorance huyo anakuwa ignorant.
Sasa tufanye wewe hukuwa unajua kama Mungu hajaumbwa, na ukawa unahoji kuumbwa kwake, je na wewe ulikuwa; lying (Mdanganyaji), deceiver (Muingopeaji), un intellectual (usiye na taaluma), a sophist nk???--- kwa kuhoji tu unapewa hayo majina???--- je vipi yule ambaye anasema na kuamini kwamba Mungu kaumbwa, tumuite nani???
Tumia akili japo kidogo kufikiri kwamba mtu anadai kuwa kitu fulani hakipo, sasa tutawezaje kujua kuwa anachosema ni kweli?Hawa wajomba madrassa wamekaririshwa kuomba uthibitisho wa vitu ambavyo havipo.
Lengo lao mzungushane mpotezeane muda ila mwisho wa siku hamna kitu cha maana mtakachodiscuss
Mtaishia kubishana tu, huyu anataka umpe uthibitisho wa kitu ambacho hakipo, huyu naye anataka umpe uthibitisho wa kutokuwepo hicho kitu...
mwisho wa siku hawajui jukumu la kutoa uthibitisho liko juu ya yule anaedai uwepo wa hiko kitu
ndomaana watu wanaishia kuwaona wajinga.
So save ur energy.
Una uthibitisho wa kitu gani kuwa hakipo?Wakitaka uthibitisho wa kitu ambacho hakipo wanione mimi
Ninao uthibitisho
Ambacho hakipoUna uthibitisho wa kitu gani kuwa hakipo?
Jamaa huwa anashangaza sana.. Kitu ambacho hakipo kinawezekana vipi kuthibitishwa kutokuwepo kwakeUnabwabwaja sana....nikisema kitu hakipo ushahidi wangu ni kutokuwepo kwake...yaani tunasema the absence of evidence is the evidence of absence.
Mtu akija nyumbani kwako akasema hakuna maji basi ujue yeye amayetafuta akakosa hivyo akasema hakuna maji. Ukibisha usimuulizie ushahidi wa kutokuwepo maji(utakuwa ujinga) kama unampinga muoneshe maji case closed
Sasa kama wewe unasema kipo weka ushahidi ila ukija na taarabu zako mimi huo muda sina...usipokuja na ushahidi ila ukaja na taarabu tena sitareply
Hahaa kwani haujawahi kuona mtu akifa ?