Nanasi Lililoozea Ndani...

Nanasi Lililoozea Ndani...

nitarudi kuisoma kwa uzuri baadae
Mentor I hope my man is fine.......naomba umsalimie sana
 
Last edited by a moderator:
duh nimechokaje Broo? inabidi nipunguze genye mshindo!

Inabidi mkuu...

Mbe" Mentor mananasi mengi mjini hapa yameoza kwa ndani ile nje mambo safi
Mbe" Hapana pima umbali kwa macho,
Ila mwambie Nicas anaweza kulala na bundi akaamka mwenye bahati..

Kudos! Umeongea point mkuu...

Story nzuri inafundisha! Maplayer sasa watakuwa macho!

Kuna watu ni masugu Munkari hata waone hawaachi...but i hope this time they will understand and stop.

Noted with thanks na kwa masikitiko makubwa....
Manake kinga huwa siizingatii hasa nikishajiridhisha kuwa kilicho mbele yangu ni pure seal.. :A S-confused1:

Kwanza ukapime.

Pili uzingatie...

Halafu, Mkuu Mentor, Mbe..
Hebu japo mara moja moja uwe unatushushia na stori laini laini Bana..
Hizi stori ngumu ngumu kuhusu Ukimwi huwa zinatukosesha sana amani sisi wakosefu..

cc: Asprin, Erickb52, Kaizer, KakaKiiza

Naona umewataja wenzako..vizuri kabisa.

Vitu laini sishushi hadi muache ubazazi.
 
Last edited by a moderator:
Mbe! We 'tutusa' kututisha kila siku ndio nini?
Hahahahahahahahahaaaaaaa!
 
lakini ukimwi wa ajabu sana inawezekana hajaupata huyo player,nakumbuka Rais Zuma alijitetea i took bath after having sex with infected lady"
 
‘Hao kina Ronaldo na Ibra
wanafunga magoli wanaingiza zao
hela mimi nikae hapa nipoteze
golden chance ya kufunga goli
pekee kwa Brenda!??’



pole kijana wetu lakin kiukwet matukio ya disin hii weng yanatukumba sema tuu tuwsbish kwenda kupma
 
Ni story mwafaka hasa kipindi hiki kuelekea siku ya ukimwi duniani.
 
lakini hii stori mbona kama inathibitisha ukweli ule ule wachaga wakizinguliwa mbe WANAJIDHURU?aidha kwa manati ya kizungu,sumu,knife ,suicide etc!!refer "mushilization and ufosarolization"
 
mkuu ujumbe umefika, maswala ya kufanya tathmini kwa macho na kwenda dry sasa mwisho.
 
Mentor ,simulizi nzuri sana hii na funzo ndani yake. Ni muandishi/mtunzi/msimulizi mzuri sana. Kama bado hujaanza kuandika vitabu, jaribu kufikiria kufanya hivyo.
 
Last edited by a moderator:
Haya mambo uyasikie na kuyasoma tu kama story usiombe yakukute/yakutokee! EE MOLA TULINDE WATU WAKO! Mentor usiache kwenda kumtia moyo Nicas!
 
Last edited by a moderator:
umetisha sana Mentor you are the best composer MMU,sijaona the crown is yours

I am humbled mkuu.

Mwe umenikumbusha Dr.chrispin!nimekusikia Mentor najali sana afya yangu kuliko chochote kingine!

Mh. Na ww unamjua Dr. Chrispin eti??! 😱

umesahau kuwaambia jinsi mimi na wewe tunavyogongana kavuuuuuuuuu! watuwache hubby wangu, tena watupe pumzi! nakupendajeeeeee??

Ahahaha tatizo mumeo anapiga game za nje kama hana akili nzuri.
 
Last edited by a moderator:
nitarudi kuisoma kwa uzuri baadae
Mentor I hope my man is fine.......naomba umsalimie sana

Oh he is..he is! Kasema umpigie simu ati...

As for me nakungojea hapa jamvini utaporudi kuisoma vyema..

Mbe! We 'tutusa' kututisha kila siku ndio nini?
Hahahahahahahahahaaaaaaa!


Siwatishi mbe...ni reality. NASISITIZA HII NI HABARI YABKWELI KABISAAAA...

Mbe" Nicas hakuwa na bastola?

Ahahaha mbe, nicas ni msukuma mshamba!!!
 
Last edited by a moderator:
Ni story mwafaka hasa kipindi hiki kuelekea siku ya ukimwi duniani.

Duh halafu mkuu sikuwa nakumbuka kweli..1 Desemba...wenye masikio na wasikie na wenye macho na waone..wajifunze wapate kubadilika.

lakini hii stori mbona kama inathibitisha ukweli ule ule wachaga wakizinguliwa mbe WANAJIDHURU?aidha kwa manati ya kizungu,sumu,knife ,suicide etc!!refer "mushilization and ufosarolization"
Nicas ni msukuma mshamba au umtetee kwa kuwa amezaliwa Moshi na kukua moshi...huenda Umushi ulimuingia....

mkuu ujumbe umefika, maswala ya kufanya tathmini kwa macho na kwenda dry sasa mwisho.

Ni kweli mbe...

Mentor ,simulizi nzuri sana hii na funzo ndani yake. Ni muandishi/mtunzi/msimulizi mzuri sana. Kama bado hujaanza kuandika vitabu, jaribu kufikiria kufanya hivyo.
SMU nashukuru....i will think of it mkuu.

Haya mambo uyasikie na kuyasoma tu kama story usiombe yakukute/yakutokee! EE MOLA TULINDE WATU WAKO! Mentor usiache kwenda kumtia moyo Nicas!

Ni kweli my dia....nitaongea naye baadaye jioni nijue pia majibu yake yakoje.

Btw, naomba date nyingine...ila zis taimu donti kipu mi weiting at one coconut laiki lasti taimu.
 
Last edited by a moderator:
Mentor inahuzunisha na nikichanganya nilivyo sina furaha leo nimeharibu siku yangu kabisa.............
 
Back
Top Bottom