Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,263
Huyu jamaa hamjui naongeza idadi ya Post ili awe Premium!
Pole stomach! siku nyingi, hivi ulishapona?Naona mchezo wa kujianzishia sred alafu unajijibu sasa umepamba moto,tena unaanza kuchukua sura ya kibiashara.
Nitaweza, kama ni lubisi natoa, kama ni ng'ombe natoa, kama ni hela natoa, kama ni mbege natoa, kama ni wanzuki natoa, kama ni ulaka natoa! kama ni senene natoa, sema sasa nini nitashindwa?
Huyu jamaa hamjui naongeza idadi ya Post ili awe Premium!
Nani kajianzishia sredi?
unauliza rangi ya mkaa!?
fyuuuuufuu sasa naanza kupumua tena, maana duuhh
nlipoteza hewa kidoncho, we si unamjua mazaa na kibwebwe
usimfanya akabeba malapa mkononi kama kipindi kile chaa vijidudu..
Pesa ya kujenga kaghorofa ka kisasa unayo?Nitaweza, kama ni lubisi natoa, kama ni ng'ombe natoa, kama ni hela natoa, kama ni mbege natoa, kama ni wanzuki natoa, kama ni ulaka natoa! kama ni senene natoa, sema sasa nini nitashindwa?
We **** kweli
Acha utani afrodenzi! mie pedeshee! Nifagilie basi kwa Lizzy! jamani.duhhhh
Kama una uwezo wa kutoa ulivyotaja
uwezo wa kutoa mahari inayotakiwa huna...
Mh labda mpaka nibebe boksi kwa miaka 20!Pesa ya kujenga kaghorofa ka kisasa unayo?
Ndiyo maana nikaomba li ushauri kipsa.k.a Roll your own! Hainaga shida hiyo ila kwa mtindo huo sidhani kama anaweza kukusoma.
Hivi na wewe hilo ni jina?Hii nayo ni thread lol
Mh labda mpaka nibebe boksi kwa miaka 20!
Hii nayo ni thread lol
huwezi kuwa premium mpaka utoe mipesa.Huyu jamaa hamjui naongeza idadi ya Post ili awe Premium!