Daraja la mtombozi kule siyo la huyu mama. Jimbo la mama huyu linaanzia daraja la ruvu kurudi nyuma kama unaenda mjini.Yapo...Amejenga dispensary,Daraja la mtombozi linajengwa kwa mil 525 sasa,Barabara inaanza kuchongwa pia.Project ya bwawa imeanza na wananchi washalipwa
Kuna maendeleo yoyote huko?
Butiama,
Na mimi je? Niwekee copy moja basi.
Yapo...Amejenga dispensary,Daraja la mtombozi linajengwa kwa mil 525 sasa,Barabara inaanza kuchongwa pia.Project ya bwawa imeanza na wananchi washalipwa
Sorry ni la gizigizi, Tegetero huyu mama kununua jengo kwa niaba ya Kata waweke dispensary, Kalundwa wanamradi wa maji,ludewa wamejengewa zahanati,kibwaya wanamradi mkubwa wa maji,Tegetero pia mradi wa maji,Mikese pia kuna mradi wa maji in the offing.Mnyongenyongeni haki yake mpeni
Pole huo ndo ukweli. Vikabila inferior mwisho kuwapa uongozi. Ishu ya Escrow ungekuwa unaijua vizuri usingekurupuka.
Na wewe umekosea;alianza Mwl J.K.Nyerere kutoka Butiama mkoani Mara enzi za bunge la Tanganyika.Maisha yakasonga wakaibuka sasa waliofatia wakiwemo hao na kina Abbas Gulamali.Kiufupi mkoa wa Morogoro wako poa sana kuondoa ile dhana ya "Uzawa"Umekosea. Alianza Amir Jamal
Na wewe umekosea;alianza Mwl J.K.Nyerere kutoka Butiama mkoani Mara enzi za bunge la Tanganyika.Maisha yakasonga wakaibuka sasa waliofatia wakiwemo hao na kina Abbas Gulamali.Kiufupi mkoa wa Morogoro wako poa sana kuondoa ile dhana ya "Uzawa"
Kuna ka mkoa fulani kaskazini mwa nchi yetu nakachukia sana kwa kuwabagua watu kiuongozi kisa si Wazawa.As long as naichukia CCM huyu mama aondolewe tu but si kwa fact ya "uzawa",
Wabhejasana!!
Wacha ujinga unataka kunambia kuchongwa kwa Barabara ni juhudi za huyo MAMA? mradi ule niwamuda mrefu kabla ya huyo mtu
Sio kweli hata kidogo..Huyo Diwani Marehemu anaitwa kibinda...Alifariki kwa pressure hasa baada ya kukosa udiwani wa kata,alizidiwa kwenye daladala na kufariki muda mfupi baadae na hiyo nyumba unayoiongelea tunaijua mpaka leo watoto wa marehemu wanaishi humo...fanya research yako vizuri.Mama huyo anafanya kazi nzuri na anahuruma na hao watu wake.Hakuna wa kumtoa hapo atleast hao waliionyesha nia woote hovyo
Ila tuna kazi ya kufanya kidogo. huku wazee wengi hawaamini kabisa upinzani wengi wanafikiri kuwa upinzani ni vita.Ukawa tutamtoa tu atake asitake,ccm wote ni wezi,wazee wa escrow
Sio kweli hata kidogo..Huyo Diwani Marehemu anaitwa kibinda...Alifariki kwa pressure hasa baada ya kukosa udiwani wa kata,alizidiwa kwenye daladala na kufariki muda mfupi baadae na hiyo nyumba unayoiongelea tunaijua mpaka leo watoto wa marehemu wanaishi humo...fanya research yako vizuri.Mama huyo anafanya kazi nzuri na anahuruma na hao watu wake.Hakuna wa kumtoa hapo atleast hao waliionyesha nia woote hovyo