Namuonea huruma mama Lucy Nkya

Namuonea huruma mama Lucy Nkya

TAWA

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2013
Posts
3,674
Reaction score
1,572
Kama kuna wabunge Wa chama cha mapinduzi wenye wakati mgumu katika harakati za kurudi bungeni baada ya uchaguzi Mkuu Wa mwakani 2015 basi mbunge Wa morogoro kusini mashariki, mama Lucy Nkya ana kazi kubwa mno.
Huyu mama hakubaliki hata na watoto wadogo kwenye jimbo lake kwani:
1. Anahusishwa na kifo cha aliyekuwa diwani Wa kinole (ccm) Kwa kuwa walikuwa wakigombania nyumba ambayo mama alimuonga diwani huyo ili awashawishi wananchi ambao hawamtaki mama.
2. Mama nkya siyo mzawa Wa eneo husika hivyo watu Wa kiloka, mkuyuni pamoja na kinole ambao Kwa asili ni waluguru wamechoka kutawaliwa na Mgeni Kwa miaka sasa wakati eneo hilo lina wazawa wengi wenye sifa.
3.Hakuna maendeleo yoyote ambayo yamefanyika toka kuja Kwa mama huyu. Soko lililojengwa mkuyuni ni kazi nzuri ya mwenyekiti Wa kijiji (CUF) Kwa kushirikiana na diwani wake. Mama huyu haonekani jimboni.
KWA MAEKEZO HAYA, MAMA TAFUTA CHAKA MAPEMA.
 

Attachments

  • 1418124352918.jpg
    1418124352918.jpg
    21.5 KB · Views: 3,439
Zile pistol alizotakamuwasha mwanae asharudisha angalien asiwamalizenazo
 
Chama kipi cha UKAWA chenye nguvu hapo kishike hatamu Mara moja
 
wabunge wote Wa morogoro kusini wana matatizo hata huyu Wa kusini magharibi bwana karogelesi hafai hata Kwa kurumagia. Nawasihi UKAWA majimbo yapo wazi Haya.
 
Kama kuna wabunge Wa chama cha mapinduzi wenye wakati mgumu katika harakati za kurudi bungeni baada ya uchaguzi Mkuu Wa mwakani 2015 basi mbunge Wa morogoro kusini mashariki, mama Lucy Nkya ana kazi kubwa mno.
Huyu mama hakubaliki hata na watoto wadogo kwenye jimbo lake kwani:
1. Anahusishwa na kifo cha aliyekuwa diwani Wa kinole (ccm) Kwa kuwa walikuwa wakigombania nyumba ambayo mama alimuonga diwani huyo ili awashawishi wananchi ambao hawamtaki mama.
2. Mama nkya siyo mzawa Wa eneo husika hivyo watu Wa kiloka, mkuyuni pamoja na kinole ambao Kwa asili ni waluguru wamechoka kutawaliwa na Mgeni Kwa miaka sasa wakati eneo hilo lina wazawa wengi wenye sifa.
3.Hakuna maendeleo yoyote ambayo yamefanyika toka kuja Kwa mama huyu. Soko lililojengwa mkuyuni ni kazi nzuri ya mwenyekiti Wa kijiji (CUF) Kwa kushirikiana na diwani wake. Mama huyu haonekani jimboni.
KWA MAEKEZO HAYA, MAMA TAFUTA CHAKA MAPEMA.

Hiyo comment ya pili haina masjhiko.
 
Chama kipi cha UKAWA chenye nguvu hapo kishike hatamu Mara moja

Morogoro kusini mashariki cuf ina nguvu sana na kusini magharibi chadema mwa - mwi.
 
Sio kweli hata kidogo..Huyo Diwani Marehemu anaitwa kibinda...Alifariki kwa pressure hasa baada ya kukosa udiwani wa kata,alizidiwa kwenye daladala na kufariki muda mfupi baadae na hiyo nyumba unayoiongelea tunaijua mpaka leo watoto wa marehemu wanaishi humo...fanya research yako vizuri.Mama huyo anafanya kazi nzuri na anahuruma na hao watu wake.Hakuna wa kumtoa hapo atleast hao waliionyesha nia woote hovyo
 
Una chuki binafsi na mama Nkyaa ww
Kwann unapenda kumchafua mama wa watu kila siku?
Hata kama unalitaka jimbo usizima mshumaaa Wa mwenziio ili wako uwake.
Stop majita siasa
 
Nakushauri fanya siasa ya kiwangochako usitumike kupita kiasi

sioni kosa Kwa mtoa mada kwani katoa hali halisi ya eneo husika. kamanda tawa yupo Matombo na anatusaidiaga sana kutupa eneo la huko.
 
Naskia morogoro kusini ambako sasa hivi yupo Inocent karogelesi ataenda kugombea prospa Mbena afu kalogeres anaenda morogoro kusini mashariki kwa Lucy nkya
Ila hawa wote ni vimeo aisee yani hakuna hata mwenye afadhari.
Mfano kalogeresi
1.hajui hata kuongea wala kujenga hoja kuanzia jimboni kwake mpaka bungeni.
2.Syo mwenyeji wa morogoro kusini so halijui jimbo vizuri kuanzia wananchi,maeneo na matatizo yao.
3.Hana msaada kwa wananchi kwani kuna vijana wanashindwa mpaka kulipa ada kwenye shule za kata na wanafukuzwa shule ikiwa ni government skul lakini mbunge anauchapa usingizi tuu.
4.Elimu yake magumashi na yakuunga unga tuu.
5.Syo mbunifu wa kutatua kero za wananchi jimboni kwake na anafumbia macho maovu ikiwamo migogoro ya wakulima na wafugaji ilooanza kujitokeza kisaka pamoja na mauaji ya kikongwa bwakira juu

Ila inasemekana kuna kijana makini sana anaitwa James Mbena anajipanga kwenda kugombea jimbo la morogoro kusini kama cyo mwakani basi ni 2020..
Huyu kijana ni mzaliwa wa konde matombo morogoro na elimu yake ni:-
2001-2004 =O level matombo secondary

2005-2007=A level at Changarawe high school mafinga mkoani iringa

2007-2010=Bachelor degree in Political science and public administration from UDSM

2013-2014= Masters of science in Human Resources Management from Mzumbe university
Aisee hii ni CV yake kwa ufupi ila kiukweli huyu kijana ni tishio
 
Morogoro ina historia ya kutawaliwa na wageni tangu enzi za Mwalimu Nyerere ukianza na Mama Shamimu Khan.......

Kama kuna wabunge Wa chama cha mapinduzi wenye wakati mgumu katika harakati za kurudi bungeni baada ya uchaguzi Mkuu Wa mwakani 2015 basi mbunge Wa morogoro kusini mashariki, mama Lucy Nkya ana kazi kubwa mno.
Huyu mama hakubaliki hata na watoto wadogo kwenye jimbo lake kwani:
1. Anahusishwa na kifo cha aliyekuwa diwani Wa kinole (ccm) Kwa kuwa walikuwa wakigombania nyumba ambayo mama alimuonga diwani huyo ili awashawishi wananchi ambao hawamtaki mama.
2. Mama nkya siyo mzawa Wa eneo husika hivyo watu Wa kiloka, mkuyuni pamoja na kinole ambao Kwa asili ni waluguru wamechoka kutawaliwa na Mgeni Kwa miaka sasa wakati eneo hilo lina wazawa wengi wenye sifa.
3.Hakuna maendeleo yoyote ambayo yamefanyika toka kuja Kwa mama huyu. Soko lililojengwa mkuyuni ni kazi nzuri ya mwenyekiti Wa kijiji (CUF) Kwa kushirikiana na diwani wake. Mama huyu haonekani jimboni.
KWA MAEKEZO HAYA, MAMA TAFUTA CHAKA MAPEMA.
 
huyo ni fursa ya pekee kwa upinzani
 
Kiukweli asipopatikana mgombea makini hii itakuwa fursa pekee kwa upinzani xyo siro
 
kwani huyu mama ilikuwaje akapewa ubunge na siyo mzaliwa?halafu watu wa Morogoro wapo nyuma sana,kuna waarabu kibao na wahindi wanawatawala huko,tabia ya watu wa morogoro ni ubishi na kujiona wanajua halafu wavivu,acha waendelee kutawaliwa na wageni
 
Samahanini ndugu zangu waluguru. Waluguru wakwere wazaramo yote haya makabila ni janga la kitaifa. Na usitegemee upata kiongozi mzuri kutoka kwenye haya makabila.
 
Kama kuna wabunge Wa chama cha mapinduzi wenye wakati mgumu katika harakati za kurudi bungeni baada ya uchaguzi Mkuu Wa mwakani 2015 basi mbunge Wa morogoro kusini mashariki, mama Lucy Nkya ana kazi kubwa mno.
Huyu mama hakubaliki hata na watoto wadogo kwenye jimbo lake kwani:
1. Anahusishwa na kifo cha aliyekuwa diwani Wa kinole (ccm) Kwa kuwa walikuwa wakigombania nyumba ambayo mama alimuonga diwani huyo ili awashawishi wananchi ambao hawamtaki mama.
2. Mama nkya siyo mzawa Wa eneo husika hivyo watu Wa kiloka, mkuyuni pamoja na kinole ambao Kwa asili ni waluguru wamechoka kutawaliwa na Mgeni Kwa miaka sasa wakati eneo hilo lina wazawa wengi wenye sifa.
3.Hakuna maendeleo yoyote ambayo yamefanyika toka kuja Kwa mama huyu. Soko lililojengwa mkuyuni ni kazi nzuri ya mwenyekiti Wa kijiji (CUF) Kwa kushirikiana na diwani wake. Mama huyu haonekani jimboni.
KWA MAEKEZO HAYA, MAMA TAFUTA CHAKA MAPEMA.

hanatofauti na mbunge wa kilindi BETRIC SHELUKINDO
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom