britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 17,211
- 41,787
Ayatollah Khamenei
Israel wao katika shughuli zao uwa wanadili na viongozi
Hezbollah walipukutika
Hamasi wakapukutika
Sasa Iran ile crew yote ya juu imesafishwa
Target yaweza kuwa khamenei
Nina uhakika
Hafiki week mbili mbele
Japo na Iran nao hawako kinyonge, isingekuwa Jordan na Marekani pale kati
Makombora mengi yangetua Tel Aviv japo yapo yaliyopenya
R.I.P Khamenei in advance
Britanicca
Israel wao katika shughuli zao uwa wanadili na viongozi
Hezbollah walipukutika
Hamasi wakapukutika
Sasa Iran ile crew yote ya juu imesafishwa
Target yaweza kuwa khamenei
Nina uhakika
Hafiki week mbili mbele
Japo na Iran nao hawako kinyonge, isingekuwa Jordan na Marekani pale kati
Makombora mengi yangetua Tel Aviv japo yapo yaliyopenya
R.I.P Khamenei in advance
Britanicca