Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 16,352
- 22,963
Kujibizana kivita is normal. Lakini Iran hawezi kufua dafu kwa m Israel. Atapoteza tu ni swala la muda.Unaandika upuuzi Israel yote inateketea na moto Israel TEL Aviv ni majivu
Kujibizana kivita is normal. Lakini Iran hawezi kufua dafu kwa m Israel. Atapoteza tu ni swala la muda.Unaandika upuuzi Israel yote inateketea na moto Israel TEL Aviv ni majivu
Na Khamenei wetu je??Hakika
Kabisa
Alafu na back up wake wanafiki akina china na Urusi
Iran ilikuwa ya kifalme iran uliisha 1979, na kiongoz wa kifalme wakati huo mohamed rheza pahlavi alipinduliwa na huyu ayatollah khomeneiIran haina political struggle kama Netanyhulu anayepigania uchaguzi ..Hao viongozi walioliwa juzi basi successors wao wamecovee seat
..Nchi za kifalme na zenye uongozi kama iran sio rahisi kubadilisha mfumo kwa sababu successor anajulikana ,huyo mwenyewe hapo yupo baada ya yule aliyekufa kwa tetesi za kuuliwa na Israel.
Bado ni ufalme ule ,Iran inaonesha nguvu yao ambayo lazima waongoze nchi ili kuleta haki sawa kama Mission yao ...Iran hakuwa na tatizo la hapo ila hao jamaa wana imani yao ya kujiona wao ni bora ,wao wataleta haki kwa mataifa yote ....Iran ilikuwa ya kifalme iran uliisha 1979, na kiongoz wa kifalme wakati huo mohamed rheza pahlavi alipinduliwa na huyu ayatollah khomenei
Since then iran iligeuka kuwa jamuhuri ya kiislam ya iran
Na under mfumo mpya ayatollah ndio kama supreme leader, maana hata rais wa iran lazima wapate baraka zake
Weakness yao ni ayatollah na kizazi chake
Hakuna mwenye uwezo wa kumuondoa huyo chuma isipokuwa aliyemuumba.Ayatollah Khamenei
Israel wao katika shughuli zao uwa wanadili na viongozi
Hezbollah walipukutika
Hamasi wakapukutika
Sasa Iran ile crew yote ya juu imesafishwa
Target yaweza kuwa khamenei
Nina uhakika
Hafiki week mbili mbele
Japo na Iran nao hawako kinyonge, isingekuwa Jordan na Marekani pale kati
Makombora mengi yangetua Tel Aviv japo yapo yaliyopenya
R.I.P Khamenei in advance
Britanicca
Khamenei mvaa ushungiNa Khamenei wetu je??
(Kwa sauti ya yesu wa kwenye movie)
Haya ndo yalikuwa mawaidha ya asubuhi hii sheikh, mbona umewadanganya ndugu zangu katika Adamu?Unaandika upuuzi Israel yote inateketea na moto Israel TEL Aviv ni majivu
Iran si ya kifalme tena, ilikuwa na title nyingine , baada ya mapinduzi ya shah, mwanamfalme na familia yake walihama iran.Bado ni ufalme ule ,Iran inaonesha nguvu yao ambayo lazima waongoze nchi ili kuleta haki sawa kama Mission yao ...Iran hakuwa na tatizo la hapo ila hao jamaa wana imani yao ya kujiona wao ni bora ,wao wataleta haki kwa mataifa yote ....
NaaamKhamenei mvaa ushungi
Maana hapo July July ni kama 77 hiviKhamenei mvaa ushungi
mrithi wake naye watamfyeka tu kama hamasi walivyofyekwaAtakufa ila tambua kuna successor wake ,wairan wanampenda sana huyu mzee ule ukweli kabisa.
Nahisi unachanganya hapo , kiongozi mkuu wa England ni kiongozi wa kanisa la Englican ...Sio lazima awe na title ila ufalme ni ile kurithi kutoka kizazi chao.Iran si ya kifalme tena, ilikuwa na title nyingine , baada ya mapinduzi ya shah, mwanamfalme na familia yake walihama iran.
Nchi ikaitwa islamic republick of iran, so technicaly iran ya sasa huwez ifananisha na morocco, spain, UK ambazo bado wana mornarch systems
Hakuna nchi ya kifalme ambayo kiongoz wa dini ndio top leader.
na kuitegemea iran ilete haki nchi zingine ni sawasawa na kutegemea mvua jangwani.
Kila nchi ina matatizo yake, kila mtu apambane na yake
Wewe unaogopa wakati wenzio hawako huko😅mrithi wake naye watamfyeka tu kama hamasi walivyofyekwa
Wewe unaogopa wakati wenzio hawako huko
Hawa ndo wale virgin 72?
Nadhani wewe ndio unachanganya; jamaa kazungumzia UK wewe unazungumzia England.Nahisi unachanganya hapo , kiongozi mkuu wa England ni kiongozi wa kanisa la Englican ...Sio lazima awe na title ila ufalme ni ile kurithi kutoka kizazi chao.
Nadhani wewe ndio unachanganya; jamaa kazungumzia. UK wewe unazungumzia England.
By the way wimbo wa taifa la Uingereza context yake ni "God save the King". Kwa muktadha huo mkuu wa nchi ni nani?
Nadhani wewe ndio unachanganya; jamaa kazungumzia. UK wewe unazungumzia England.
By the way wimbo wa taifa la Uingereza context yake ni "God save the King". Kwa muktadha huo mkuu wa nchi ni nani?
Unachanganya labda ni majini tu ila Mfumo wa Iran ni pure mfumo wa Kifalme , ambapo mwenye maamuzi makubwa ni kiongozi mmoja.Nadhani wewe ndio unachanganya; jamaa kazungumzia. UK wewe unazungumzia England.
By the way wimbo wa taifa la Uingereza context yake ni "God save the King". Kwa muktadha huo mkuu wa nchi ni nani?