baba-mwajuma
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 5,899
- 12,494
Hivi mfalme ama malkia wa Uingereza akifa Uingereza ina paranganyika? Khamenei ni spiritual leader tu tena mzee ana miaka 86.Ayatollah Khamenei
Israel wao katika shughuli zao uwa wanadili na viongozi
Hezbollah walipukutika
Hamasi wakapukutika
Sasa Iran ile crew yote ya juu imesafishwa
Target yaweza kuwa khamenei
Nina uhakika
Hafiki week mbili mbele
Japo na Iran nao hawako kinyonge, isingekuwa Jordan na Marekani pale kati
Makombora mengi yangetua Tel Aviv japo yapo yaliyopenya
R.I.P Khamenei in advance
Britanicca
Nguvu ya Iran ni raia wake, jamaa wapo smart, wamesoma na wanaweza kujitegemea na kutengeneza kila kitu chao. Maraisi wao wanapanda hadi daladala, kifupi wapo tofauti na watu wengi Duniani.
There is a reason why Netanyahu kila siku akiongea kupigana na Iran anazungumzia Hollywood, maana anajua kuwapiga Iran inabidi uwahadae waache culture yao na kufuta ushenzi wa wazungu.