Sweet16
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 6,152
- 11,209
Hawa ndiyo wamempokea mwenzetu anajilia raha tu
Hawa ndiyo wamempokea mwenzetu anajilia raha tu
Yametimia uliona mbali mkuuR.I.P Khamenei in advance
YesAtakufa ila tambua kuna successor wake ,wairan wanampenda sana huyu mzee ule ukweli kabisa.
Ulimaanisha nini ?Succesor alikuwa anatajwa ni mwanae, lakin kuonfokewa kwake kutaifanya iran ijitifakar upya
uliona mbali, yamemkuta !Ayatollah Khamenei
Israel wao katika shughuli zao uwa wanadili na viongozi
Hezbollah walipukutika
Hamasi wakapukutika
Sasa Iran ile crew yote ya juu imesafishwa
Target yaweza kuwa khamenei
Nina uhakika
Hafiki week mbili mbele
Japo na Iran nao hawako kinyonge, isingekuwa Jordan na Marekani pale kati
Makombora mengi yangetua Tel Aviv japo yapo yaliyopenya
R.I.P Khamenei in advance
Britanicca
Iran haijajengwa kwenye mfumo wa IslamicHizo ni propaganda hazina uhalisia😅 umenoa Maandamno huko USA yakirushwa kwenye media kubwa?
Iran hawana mfumo wa siasa tangu awali ni ufalme tu .Hawana mambo ya siasa ,wale wanaharakati ni pandikizi la US .