Namuombea Msamaha DC Magoti kwa Watanzania wote

Namuombea Msamaha DC Magoti kwa Watanzania wote

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2019
Posts
6,447
Reaction score
11,505
Dc Petro Magoti ameteleza katoa kauli mbaya sana, kwamba atawatandika watu mpaka wapate ukilema, ile kauli sio nzuri kweli, lakini kwa namna watanzania mnavyomshambulia huko Instagram mpaka sasa namuonea huruma!

Vita imejikita sasa kwenye maumbile yake yani imekuwa too personal yaani sio mambo ya siasa tena.

Dc Magoti jifunze kwa hili, watu wamedata hawajali kuhusu kukufuru Mungu wala nini, kuna comment nimezisoma mpaka nikakuonea huruma mzee.

Soma Pia:GE2025 - DC Magoti: Kama unataka kuzeeka ukiwa Kiwete andamana, ntawapiga mpaka Sura iwe kama Nyama Choma ya Porini
 
Sativa sijui alifanywaje alivyotekwa yani anahasira moja kali balaaaaa


1000164634.jpg
 
Dc Petro Magoti ameteleza katoa kauli mbaya sana, kwamba atawatandika watu mpaka wapate ukilemaa, ile kauli sio nzuri kweli, lakini kwa namna watanzania mnavyomshambulia huko Instagram mpaka sasa namuonea huruma!

Vita imejikita sasa kwenye maumbile yake yani imekua too personal yani sio mambo ya siasa tena.

Dc magoti jifunze kwa hili, watu wamedata hawajali kuhusu kukufuru Mungu wala nini, kuna comment nimezisome mpaka nikakuonea huruma mzee.

Soma Pia:GE2025 - DC Magoti: Kama unataka kuzeeka ukiwa Kiwete andamana, ntawapiga mpaka Sura iwe kama Nyama Choma ya Porini
Huwa wanajisahau sana wakiwa kwenye madaraka ila wakiwa nje ya uwanja wanakuwa na akili,

Yaani DC anatoa kauli ambayo hata yeye amejisahau kama ana "HALI HIYO".

Polepole ndiyo aliyemtoa DC lakini amekaa kimya juu ya utekaji wake.

DC na Massawe ndiyo wanaohusika kumpa SUMU "LANGUMA"
 
Huwa wanajisahau sana wakiwa kwenye madaraka ila wakiwa nje ya uwanja wanakuwa na akili,

Yaani DC anatoa kauli ambayo hata yeye amejisahau kama ana "HALI HIYO".

Polepole ndiyo aliyemtoa DC lakini amekaa kimya juu ya utekaji wake.

DC na Massawe ndiyo wanaohusika kumpa SUMU "LANGUMA"
Hii code ya aliyekuwa naibu mwenyekiti bara MALANGU nimekuelewa.
 
Back
Top Bottom