SaidAlly
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 2,328
- 2,217
Kweli kabisa Mkuu nimechemka! Nafuta hiyo kauli ya mwisho niliyo malizia.Wee kijana hiyo lugha uliyomalizia ni lugha za kike vipi unaitumia wewe?
Kweli kabisa Mkuu nimechemka! Nafuta hiyo kauli ya mwisho niliyo malizia.Wee kijana hiyo lugha uliyomalizia ni lugha za kike vipi unaitumia wewe?
Wanaume kwa Ubunifu hamjambo. kila kukicha Paragraph ya Kuanzia inazinduliwa.
Ila nimegundua humu JF mwanaume akitaka kukutongoza anakuanzishia sredi.
Vivian,mtoa mada sio kweli kuwa anamuogopa huyu mtu ila there is something nyuma ya hii thread,mapenzi ni mojawapo lakini kuna mengi!Ambacho nina uhakika nacho ni kuwa ametumia lugha kivuli ila ana lengo lake!
Ukimpenda Lizzy utakuwa unajiumiza tu!! Midume yote JF inamkodelea macho!
Samahani N N.
Nitakuanzishia kesho.
Nitakuanzishia kesho.
Much appreciated.
Kaka wengine tunasumu kali sana asikuambie mtu
Usiseme unaniogopa Lakini
Usiseme unaniogopa Lakini
kwanini unaniogopa Ezan?
I also like my BF to call me Baby and not Mtoto!
scare of him or??
Duh!Angalia usinichomeshe mahindi,nitakuja!Usisahau kuja Bilionaires club Ijumaa, nina Toti zako Mbili za Jack Daniels
Ameshashtuka hataki siredi njoo na issue nyingine
Okay baby, no problem.