SaidAlly
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 2,328
- 2,217
Enheee.....bora umetia timu, sipati picha huyu mtoa hoja atakavyokuwa kachanyikiwa maana kaanzia pabaya. Analo!As if.....
Enheee.....bora umetia timu, sipati picha huyu mtoa hoja atakavyokuwa kachanyikiwa maana kaanzia pabaya. Analo!As if.....
Ndo maana nilikuulizia huwa unazungumza ukweli tu!Mdada akukuambia sikupendi ujue huyu yuko radhi hata kumeza chupa akikukosa. Nakupenda pia
Wee kijana hiyo lugha uliyomalizia ni lugha za kike vipi unaitumia wewe?Enheee.....bora umetia timu, sipati picha huyu mtoa hoja atakavyokuwa kachanyikiwa maana kaanzia pabaya. Analo!
DoughnutMbona nishampata tayari...Inapendeza nikiendelee ili wakae mbali!
Thanks MONKEY.
Sincerely no. Lbda uje kivingine
Mtazamo huu unaweza kuwa kweli lakini kuna wengine hawana mpango huo!
Thanks MONKEY.
Huu ndo ukweli wote!What if lizy ndo wewe mwenyewe?
VIVIAN unaonekana ni mkali sana wewe, mimi nakuogopa sana
I don't like to be called monkey. I like Nyani.
Hebu tuichambue hii Thread Criticaly!
Mleta mada anasema anapoandika thread anfanya auditing ya nguvu kwaajili ya Lizy tu,
Yaani anaogopa Lizy asione kama anaandika Pumba.
Hivi nyie wanaume mnavyo toka out ya mwanzo na Madates wenu, how many times do you look yourself in the Miirror?
When you see yourself in the mirror, unakua unamfikiria nani Muda huo?
Najaribu tu kijifanya namimi ni great thinker. lol
scare of him or??Samahani N N.
Mdada akukuambia sikupendi ujue huyu yuko radhi hata kumeza chupa akikukosa. Nakupenda pia
eti eeh guud?Lizzy hata mimi nampenda sana