Namtaka chibaba, sitaki kijana

Namtaka chibaba, sitaki kijana

Vijana wa kiume kwa asilimia kubwa wanalelewa na mijimama hawataki mahusiano ya kuombwa hela ya matumizi pindi wakiwa na mahusiano na mabinti
Kwenye thread yako makosa ya vijana wa kiume ni haya hapa

1)Kuzalisha na kuacha single mother sababu ya kukwepa majukumu ya kulea watoto wao
2)Kulelewa na majimama
3) Kutotimiza ahadi ya kuoa

Makosa mawili makubwa ya mabinti wa kike:

1)Kuomba omba hela ya matumizi, na sio kuomba hela ya matumizi maana kama wangekua wanaomba tu mara moja moja wasingekimbiwa na vijana wa kiume
2)Ku-date na vibaba, mwanaume mwenye miaka 45 mara nyingi ana familia yake, utajenga future gani na mume wa mtu..?

Hao mabinti wanao-date na vibaba ni golddiggers, umaskini unawasumbua na wengine wana tamaa ya kuishi maisha mazuri yaliyo nje ya uwezo wao, hiyo ya vijana wa kiume kuwa ivi kuwa vile, ingawa ni tuhuma za kweli, ila wao hutumia izo facts kama visingizio tu vya kuhalalisha kujiuza kwao, maana siamini kama binti wa miaka 22 atavutiwa kimapenzi na mwanaume wa miaka 45+ zaidi ya kua atafata hela tu huko cutelove
 
Hii ndo kauli inayotamba mitaani kwa sisi wanawake,hatujui kimetukuta nini
Mabinti kwa sasa hawaoni aibu tena kudate na wababa watu wazima kabisa na wanasema hadharani staki mahusiano na vijana kuwa hawana lolote

Mabinti wanadai kuwa mahusiano na vijana yamewaacha wengi kuwa single mother,wanawazalisha kisha hupotea kukwepa majukumu ya kulea na pia hawatimizi ahadi ya kuoa

Vijana wa kiume kwa asilimia kubwa wanalelewa na mijimama hawataki mahusiano ya kuombwa hela ya matumizi pindi wakiwa na mahusiano na mabinti

Hapa mtaani kwangu kuna mabinti miaka 20 na 22 wanadate na wababa miaka 45+

Hii kitaalam tunaweza kusemaje
Ukweli wababa hivi vibinti tunajilia vitamu kweli, halafu gharama za kawaida tuu. Nikilipa kodi ya chumba hata kama sijui kanakaa wapi, kanajiachia tuu. Tunavikuta stationeries na saluni.
 
Bro umesahau picha
images (20).jpeg
 
Hii ndo kauli inayotamba mitaani kwa sisi wanawake,hatujui kimetukuta nini
Mabinti kwa sasa hawaoni aibu tena kudate na wababa watu wazima kabisa na wanasema hadharani staki mahusiano na vijana kuwa hawana lolote

Mabinti wanadai kuwa mahusiano na vijana yamewaacha wengi kuwa single mother,wanawazalisha kisha hupotea kukwepa majukumu ya kulea na pia hawatimizi ahadi ya kuoa

Vijana wa kiume kwa asilimia kubwa wanalelewa na mijimama hawataki mahusiano ya kuombwa hela ya matumizi pindi wakiwa na mahusiano na mabinti

Hapa mtaani kwangu kuna mabinti miaka 20 na 22 wanadate na wababa miaka 45+

Hii kitaalam tunaweza kusemaje
Mwandiko wa dume mwenzetu aliyeamua kujitoa betri kichwani huu wakuu.
 
Kwenye thread yako makosa ya vijana wa kiume ni haya hapa

1)Kuzalisha na kuacha single mother sababu ya kukwepa majukumu ya kulea watoto wao
2)Kulelewa na majimama
3) Kutotimiza ahadi ya kuoa

Makosa mawili makubwa ya mabinti wa kike:

1)Kuomba omba hela ya matumizi, na sio kuomba hela ya matumizi maana kama wangekua wanaomba tu mara moja moja wasingekimbiwa na vijana wa kiume
2)Ku-date na vibaba, mwanaume mwenye miaka 45 mara nyingi ana familia yake, utajenga future gani na mume wa mtu..?

Hao mabinti wanao-date na vibaba ni golddiggers, umaskini unawasumbua na wengine wana tamaa ya kuishi maisha mazuri yaliyo nje ya uwezo wao, hiyo ya vijana wa kiume kuwa ivi kuwa vile, ingawa ni tuhuma za kweli, ila wao hutumia izo facts kama visingizio tu vya kuhalalisha kujiuza kwao, maana siamini kama binti wa miaka 22 atavutiwa kimapenzi na mwanaume wa miaka 45+ zaidi ya kua atafata hela tu huko cutelove
Asante nimekuelewa
 
Hii ndo kauli inayotamba mitaani kwa sisi wanawake,hatujui kimetukuta nini
Mabinti kwa sasa hawaoni aibu tena kudate na wababa watu wazima kabisa na wanasema hadharani staki mahusiano na vijana kuwa hawana lolote

Mabinti wanadai kuwa mahusiano na vijana yamewaacha wengi kuwa single mother,wanawazalisha kisha hupotea kukwepa majukumu ya kulea na pia hawatimizi ahadi ya kuoa

Vijana wa kiume kwa asilimia kubwa wanalelewa na mijimama hawataki mahusiano ya kuombwa hela ya matumizi pindi wakiwa na mahusiano na mabinti

Hapa mtaani kwangu kuna mabinti miaka 20 na 22 wanadate na wababa miaka 45+

Hii kitaalam tunaweza kusemaje
Ndo vizuri
 
Back
Top Bottom