Ila wadau hili kaburi mkilifukua si mtakuta hata mifupa haipoTuweke rekodi sawa ilikua 7800 mkuu
Na sweta la Tanzania
They want them richer we want them younger....kazi ipoWadada wanataka hela kutoka kwa wazee(wababa) na mishangazi inafuata show ya kibabe kwa vijana
Cc: mzabzab BICHWA KOMWE
Kwenye thread yako makosa ya vijana wa kiume ni haya hapaVijana wa kiume kwa asilimia kubwa wanalelewa na mijimama hawataki mahusiano ya kuombwa hela ya matumizi pindi wakiwa na mahusiano na mabinti
ni mtifuanoThey want them richer we want them younger....kazi ipo
nyie mnapenda pesaTupeni matibabu amani
Mnawafunza vipi mkuu?Sawa tu.
Acha sie tuwafunze hao vijana ukubwa
Ukweli wababa hivi vibinti tunajilia vitamu kweli, halafu gharama za kawaida tuu. Nikilipa kodi ya chumba hata kama sijui kanakaa wapi, kanajiachia tuu. Tunavikuta stationeries na saluni.Hii ndo kauli inayotamba mitaani kwa sisi wanawake,hatujui kimetukuta nini
Mabinti kwa sasa hawaoni aibu tena kudate na wababa watu wazima kabisa na wanasema hadharani staki mahusiano na vijana kuwa hawana lolote
Mabinti wanadai kuwa mahusiano na vijana yamewaacha wengi kuwa single mother,wanawazalisha kisha hupotea kukwepa majukumu ya kulea na pia hawatimizi ahadi ya kuoa
Vijana wa kiume kwa asilimia kubwa wanalelewa na mijimama hawataki mahusiano ya kuombwa hela ya matumizi pindi wakiwa na mahusiano na mabinti
Hapa mtaani kwangu kuna mabinti miaka 20 na 22 wanadate na wababa miaka 45+
Hii kitaalam tunaweza kusemaje
Mwandiko wa dume mwenzetu aliyeamua kujitoa betri kichwani huu wakuu.Hii ndo kauli inayotamba mitaani kwa sisi wanawake,hatujui kimetukuta nini
Mabinti kwa sasa hawaoni aibu tena kudate na wababa watu wazima kabisa na wanasema hadharani staki mahusiano na vijana kuwa hawana lolote
Mabinti wanadai kuwa mahusiano na vijana yamewaacha wengi kuwa single mother,wanawazalisha kisha hupotea kukwepa majukumu ya kulea na pia hawatimizi ahadi ya kuoa
Vijana wa kiume kwa asilimia kubwa wanalelewa na mijimama hawataki mahusiano ya kuombwa hela ya matumizi pindi wakiwa na mahusiano na mabinti
Hapa mtaani kwangu kuna mabinti miaka 20 na 22 wanadate na wababa miaka 45+
Hii kitaalam tunaweza kusemaje
Asante nimekuelewaKwenye thread yako makosa ya vijana wa kiume ni haya hapa
1)Kuzalisha na kuacha single mother sababu ya kukwepa majukumu ya kulea watoto wao
2)Kulelewa na majimama
3) Kutotimiza ahadi ya kuoa
Makosa mawili makubwa ya mabinti wa kike:
1)Kuomba omba hela ya matumizi, na sio kuomba hela ya matumizi maana kama wangekua wanaomba tu mara moja moja wasingekimbiwa na vijana wa kiume
2)Ku-date na vibaba, mwanaume mwenye miaka 45 mara nyingi ana familia yake, utajenga future gani na mume wa mtu..?
Hao mabinti wanao-date na vibaba ni golddiggers, umaskini unawasumbua na wengine wana tamaa ya kuishi maisha mazuri yaliyo nje ya uwezo wao, hiyo ya vijana wa kiume kuwa ivi kuwa vile, ingawa ni tuhuma za kweli, ila wao hutumia izo facts kama visingizio tu vya kuhalalisha kujiuza kwao, maana siamini kama binti wa miaka 22 atavutiwa kimapenzi na mwanaume wa miaka 45+ zaidi ya kua atafata hela tu huko cutelove
Ndo vizuriHii ndo kauli inayotamba mitaani kwa sisi wanawake,hatujui kimetukuta nini
Mabinti kwa sasa hawaoni aibu tena kudate na wababa watu wazima kabisa na wanasema hadharani staki mahusiano na vijana kuwa hawana lolote
Mabinti wanadai kuwa mahusiano na vijana yamewaacha wengi kuwa single mother,wanawazalisha kisha hupotea kukwepa majukumu ya kulea na pia hawatimizi ahadi ya kuoa
Vijana wa kiume kwa asilimia kubwa wanalelewa na mijimama hawataki mahusiano ya kuombwa hela ya matumizi pindi wakiwa na mahusiano na mabinti
Hapa mtaani kwangu kuna mabinti miaka 20 na 22 wanadate na wababa miaka 45+
Hii kitaalam tunaweza kusemaje
Una jimama mkuu!?Iyo ni (GG) + 2.5 majimama tuna dil nayo kisawa sawa kitaani
Hahaha Miss NatafutaKabla ya kuanza kuita hiyo kitaalamu vipi ile yakwako yakusafiri mpaka dar nakupewa buku saba miambili tunaiitaje kitaalamu..??