Namtaka chibaba, sitaki kijana

Namtaka chibaba, sitaki kijana

Huwa wanasema hivyo wakiwa kwenye 20s kwa sababu ya tamaa ya pesa, halafu wakifika kwenye hizo 40s huwa wanabadilika na kuwa supa woman wanaotetea haki za wanawake na kuwachukia age mates wao (wababa) wanaotoka na mabinti wa 20s
So means, wakianza kupiga mayowe kwenye 40s tutakua hapa tunawaangalia tu.

Uzuri wa sisi wanaume, waache watembee na wababa, hata sisi tukiwa wababa tutapiga tu wa 20s, maisha kupokezana.
 
Hii ndo kauli inayotamba mitaani kwa sisi wanawake,hatujui kimetukuta nini
Mabinti kwa sasa hawaoni aibu tena kudate na wababa watu wazima kabisa na wanasema hadharani staki mahusiano na vijana kuwa hawana lolote

Mabinti wanadai kuwa mahusiano na vijana yamewaacha wengi kuwa single mother,wanawazalisha kisha hupotea kukwepa majukumu ya kulea na pia hawatimizi ahadi ya kuoa

Vijana wa kiume kwa asilimia kubwa wanalelewa na mijimama hawataki mahusiano ya kuombwa hela ya matumizi pindi wakiwa na mahusiano na mabinti

Hapa mtaani kwangu kuna mabinti miaka 20 na 22 wanadate na wababa miaka 45+

Hii kitaalam tunaweza kusemaje
Kitaalamu inaitwa Chimama wa Chibaba
 
ndio yapo mawili nayakanyaga vibaya tangia 2019 watoto wa 2000 sina muda nao kabisa na sitaki mapicha picha na pressure zisizo na maana kwa sasa
Vipi wana matako makubwa? Na zile T3 wanazo?

Swali lingine je uliwapataje? Na mimi nawataka sema sina mbinu za kuwaingia!?
 
Hii ndo kauli inayotamba mitaani kwa sisi wanawake,hatujui kimetukuta nini
Mabinti kwa sasa hawaoni aibu tena kudate na wababa watu wazima kabisa na wanasema hadharani staki mahusiano na vijana kuwa hawana lolote

Mabinti wanadai kuwa mahusiano na vijana yamewaacha wengi kuwa single mother,wanawazalisha kisha hupotea kukwepa majukumu ya kulea na pia hawatimizi ahadi ya kuoa

Vijana wa kiume kwa asilimia kubwa wanalelewa na mijimama hawataki mahusiano ya kuombwa hela ya matumizi pindi wakiwa na mahusiano na mabinti

Hapa mtaani kwangu kuna mabinti miaka 20 na 22 wanadate na wababa miaka 45+

Hii kitaalam tunaweza kusemaje
Ukiona hivyo ujue bi kizimkazi kakamatia chini.
 
Back
Top Bottom