Namtaka chibaba, sitaki kijana

Namtaka chibaba, sitaki kijana

Watu wazima ni ukomavu wa akili tu ndio huwafanya wawe watulivu. Vijana ni viberenge, mwendokasi hawajatulia kwenye suala la mahusiano wana tamaa nyingi na kutokuwajibika vema. Kijana anaoa leo mpaka afikishe miaka 50 atakuwa ameoa na kuacha wake wengi. Mtu mzima hana tamaa ya kuwa na wapenzi wengi
 
Ipo hivi;
Wanawake wanataka wababa kwasababu kipato cha wababa kipo stable, kwahiyo anakuwa na uhakika wa kutatuliwa shida ndogondogo.

Wanaume(wababa) nao pia wanapenda mabinti wadogo sababu kipato cha hao mabinti kinakuwa bado hakieleweki, so inakuwa rahisi kuwatawala.

Majobless in our 20s tupo kuwasaidia awa wamama wanaokosa mapenzi kutoka kwa wababa wao walio busy na vibinti.
Nimepata point
 
Back
Top Bottom