Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 24,706
- 44,068
7800
Mtoa mada ana body sexyHii ndo kauli inayotamba mitaani kwa sisi wanawake,hatujui kimetukuta nini
Mabinti kwa sasa hawaoni aibu tena kudate na wababa watu wazima kabisa na wanasema hadharani staki mahusiano na vijana kuwa hawana lolote
Mabinti wanadai kuwa mahusiano na vijana yamewaacha wengi kuwa single mother,wanawazalisha kisha hupotea kukwepa majukumu ya kulea na pia hawatimizi ahadi ya kuoa
Vijana wa kiume kwa asilimia kubwa wanalelewa na mijimama hawataki mahusiano ya kuombwa hela ya matumizi pindi wakiwa na mahusiano na mabinti
Hapa mtaani kwangu kuna mabinti miaka 20 na 22 wanadate na wababa miaka 45+
Hii kitaalam tunaweza kusemaje
Wababa watu wazima ni waelewa sana!🤭
Kila la kheri hahaha usije lia lia hapa...Wababa watu wazima ni waelewa sana!
Poke video call...
Kitaalam hii inaitwa ''beba vyuma utengengeze six park, mimi nafanya mishe nitengeneze ngawira''Hii ndo kauli inayotamba mitaani kwa sisi wanawake,hatujui kimetukuta nini
Mabinti kwa sasa hawaoni aibu tena kudate na wababa watu wazima kabisa na wanasema hadharani staki mahusiano na vijana kuwa hawana lolote
Mabinti wanadai kuwa mahusiano na vijana yamewaacha wengi kuwa single mother,wanawazalisha kisha hupotea kukwepa majukumu ya kulea na pia hawatimizi ahadi ya kuoa
Vijana wa kiume kwa asilimia kubwa wanalelewa na mijimama hawataki mahusiano ya kuombwa hela ya matumizi pindi wakiwa na mahusiano na mabinti
Hapa mtaani kwangu kuna mabinti miaka 20 na 22 wanadate na wababa miaka 45+
Hii kitaalam tunaweza kusemaje
Sisi Wazee tunasema kazi ndogo mshahara mkubwa,ni wewe tu kuamua.Hii ndo kauli inayotamba mitaani kwa sisi wanawake,hatujui kimetukuta nini
Mabinti kwa sasa hawaoni aibu tena kudate na wababa watu wazima kabisa na wanasema hadharani staki mahusiano na vijana kuwa hawana lolote
Mabinti wanadai kuwa mahusiano na vijana yamewaacha wengi kuwa single mother,wanawazalisha kisha hupotea kukwepa majukumu ya kulea na pia hawatimizi ahadi ya kuoa
Vijana wa kiume kwa asilimia kubwa wanalelewa na mijimama hawataki mahusiano ya kuombwa hela ya matumizi pindi wakiwa na mahusiano na mabinti
Hapa mtaani kwangu kuna mabinti miaka 20 na 22 wanadate na wababa miaka 45+
Hii kitaalam tunaweza kusemaje
Ni kweli. Sisi wababa siyo kama hawa vijana.Wababa watu wazima ni waelewa sana!
😁😁😁😁😁😁😂😂😂😂😂Kila la kheri hahaha usije lia lia hapa...
Hahaha😂😂😂😂😭Kabla ya kuanza kuita hiyo kitaalamu vipi ile yakwako yakusafiri mpaka dar nakupewa buku saba miambili tunaiitaje kitaalamu..??