Namtaka chibaba, sitaki kijana

Namtaka chibaba, sitaki kijana

cutelove

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2017
Posts
3,586
Reaction score
8,386
Hii ndo kauli inayotamba mitaani kwa sisi wanawake,hatujui kimetukuta nini
Mabinti kwa sasa hawaoni aibu tena kudate na wababa watu wazima kabisa na wanasema hadharani staki mahusiano na vijana kuwa hawana lolote

Mabinti wanadai kuwa mahusiano na vijana yamewaacha wengi kuwa single mother,wanawazalisha kisha hupotea kukwepa majukumu ya kulea na pia hawatimizi ahadi ya kuoa

Vijana wa kiume kwa asilimia kubwa wanalelewa na mijimama hawataki mahusiano ya kuombwa hela ya matumizi pindi wakiwa na mahusiano na mabinti

Hapa mtaani kwangu kuna mabinti miaka 20 na 22 wanadate na wababa miaka 45+

Hii kitaalam tunaweza kusemaje
 
Huwa wanasema hivyo wakiwa kwenye 20s kwa sababu ya tamaa ya pesa, halafu wakifika kwenye hizo 40s huwa wanabadilika na kuwa supa woman wanaotetea haki za wanawake na kuwachukia age mates wao (wababa) wanaotoka na mabinti wa 20s
 
Hii ndo kauli inayotamba mitaani kwa sisi wanawake,hatujui kimetukuta nini
Mabinti kwa sasa hawaoni aibu tena kudate na wababa watu wazima kabisa na wanasema hadharani staki mahusiano na vijana kuwa hawana lolote

Mabinti wanadai kuwa mahusiano na vijana yamewaacha wengi kuwa single mother,wanawazalisha kisha hupotea kukwepa majukumu ya kulea na pia hawatimizi ahadi ya kuoa

Vijana wa kiume kwa asilimia kubwa wanalelewa na mijimama hawataki mahusiano ya kuombwa hela ya matumizi pindi wakiwa na mahusiano na mabinti

Hapa mtaani kwangu kuna mabinti miaka 20 na 22 wanadate na wababa miaka 45+

Hii kitaalam tunaweza kusemaje
Ipo hivi;
Wanawake wanataka wababa kwasababu kipato cha wababa kipo stable, kwahiyo anakuwa na uhakika wa kutatuliwa shida ndogondogo.

Wanaume(wababa) nao pia wanapenda mabinti wadogo sababu kipato cha hao mabinti kinakuwa bado hakieleweki, so inakuwa rahisi kuwatawala.

Majobless in our 20s tupo kuwasaidia awa wamama wanaokosa mapenzi kutoka kwa wababa wao walio busy na vibinti.
 
Back
Top Bottom