Namtafuta Mume mwenye status kama yangu

Namtafuta Mume mwenye status kama yangu

Ukiwa mwalimu wa sekondari bana, na tabia zinakuwa za kianafunzi tu.

Siku hizi wana mpya wanasema 'tuamke katika neno'

afu wanajibu 'tusiishi kwa mazoea'

duuh! Ndo naiskia leo hii,ndo shida ya kukimbia shule hii
 
Naona wadada walio/wanaojiunga karibuni wengi wanaingia kwa gia ya kutafuta waume au wachumba sijui imekuwaje?.
 
Salaamu wanagreat thinkers, nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa mada mbalimbali zitolewazo hapa jukwaan bila ajizi nimeamua nami kujiunga ili nizifaidi kwa kina. me ni mdada mwenye umri wa miaka 27,mrefu mwembamba kiasi,mjasiriamali mwenye elimu ya kidato cha nne pia napenda kujiendeleza panapo nafasi (kifedha zaidi) ni mama wa mtoto 1.nahitaji mume walau asizidi watoto wawili na awe hajawahi kufunga ndoa kama aliwahi kuishi na mwanamke co mbaya.vigezo awe mrefu,mkristo,asiwe mvuta sigara wala mlevi,awe ameajiri
https://www.jamiiforums.com/newthread.php

nitafute tujadiliane!
 
Kuwa na Elimu ya kidato cha nne hakukufanyi usiwe na common sense!!.......tumia lugha kwamba unahitaji mwenye kipato halali, na wewe ni vizuri ungeeleza kama umeajiliwa au umejiajili, hii inaitwa check & balance mechanism.

me nimesema mjasiriamali,means nimejiajiri.
 
Karibu jamvini naona umeamua kuingia na style ya kumtafuta mume!!!!
 
Salaamu wanagreat thinkers, nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa mada mbalimbali zitolewazo hapa jukwaan bila ajizi nimeamua nami kujiunga ili nizifaidi kwa kina. me ni mdada mwenye umri wa miaka 27,mrefu mwembamba kiasi,mjasiriamali mwenye elimu ya kidato cha nne pia napenda kujiendeleza panapo nafasi (kifedha zaidi) ni mama wa mtoto 1.nahitaji mume walau asizidi watoto wawili na awe hajawahi kufunga ndoa kama aliwahi kuishi na mwanamke co mbaya.vigezo awe mrefu,mkristo,asiwe mvuta sigara wala mlevi,awe ameajiri
https://www.jamiiforums.com/newthread.php
Dah tatizo dini, mimi ni mfuasi wa dini ya kimila na natarajia kutawazwa
kuwa chifu, niko tayari kubadilika na kufuata huko unakotaka maana
the way unavyojieleza inaonyesha una sifa ninazozihitaji.
 
Naona wadada walio/wanaojiunga karibuni wengi wanaingia kwa gia ya kutafuta waume au wachumba sijui imekuwaje?.

kwa upande wangu.vijana wa hku nilipo hawatak mwenye mtoto dats y nimeamua kufunguka hku îli alie interested ajue nina mtoto kabisaaa!
 
Njoja niangalie mechi ya Aseno kwanza!
 
Salaamu wanagreat thinkers, nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa mada mbalimbali zitolewazo hapa jukwaan bila ajizi nimeamua nami kujiunga ili nizifaidi kwa kina. me ni mdada mwenye umri wa miaka 27,mrefu mwembamba kiasi,mjasiriamali mwenye elimu ya kidato cha nne pia napenda kujiendeleza panapo nafasi (kifedha zaidi) ni mama wa mtoto 1.nahitaji mume walau asizidi watoto wawili na awe hajawahi kufunga ndoa kama aliwahi kuishi na mwanamke co mbaya.vigezo awe mrefu,mkristo,asiwe mvuta sigara wala mlevi,awe ameajiri
https://www.jamiiforums.com/newthread.php
yaani hapo kwenye red mi ndio kidogo pana mushkel,mimi ni muislam vipi kuna special consideration au? maana kwingine kote ni kama nafiti ila mtiti upo hapo tu. kama vipi ni pm.
 
Mimi kama Matola nina sifa zote unazozitaka ila hapo kwenye Red naona utanikosa kwa hicho kikwazo maana mimi sijaajili na wala sijaajiliwa. think loud!!

Hivi wewe ni Mtanzania na Kiswahili ni lugha yako ya taifa?
 
Back
Top Bottom