tabibumtaratibu
JF-Expert Member
- May 29, 2011
- 2,403
- 1,178
Ukiwa mwalimu wa sekondari bana, na tabia zinakuwa za kianafunzi tu.
Siku hizi wana mpya wanasema 'tuamke katika neno'
afu wanajibu 'tusiishi kwa mazoea'
duuh! Ndo naiskia leo hii,ndo shida ya kukimbia shule hii