yaser
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 1,362
- 299
siyo lazima aishi naye, mbona wewe hukumuoa yule mdada uliye zaa naye mapacha 3
chokoraa,kalala jr na jose mara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
siyo lazima aishi naye, mbona wewe hukumuoa yule mdada uliye zaa naye mapacha 3
Unatafuta bwana?....Hivi wewe ni Mtanzania na Kiswahili ni lugha yako ya taifa?
best wishes,na2mai utapata hitaji lako,cha msingi kuwa makini kwani kweny msafara wa mamba....some will take an advantage kutaka kukuchezea.
salaamu wanagreat thinkers, nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa mada mbalimbali zitolewazo hapa jukwaan bila ajizi nimeamua nami kujiunga ili nizifaidi kwa kina. Me ni mdada mwenye umri wa miaka 27,mrefu mwembamba kiasi,mjasiriamali mwenye elimu ya kidato cha nne pia napenda kujiendeleza panapo nafasi (kifedha zaidi) ni mama wa mtoto 1.nahitaji mume walau asizidi watoto wawili na awe hajawahi kufunga ndoa kama aliwahi kuishi na mwanamke co mbaya.vigezo awe mrefu,mkristo,asiwe mvuta sigara wala mlevi,awe ameajiri
https://www.jamiiforums.com/newthread.php
mmh! Wana TYCSS utawajua 2.
yaani hapo kwenye red mi ndio kidogo pana mushkel,mimi ni muislam vipi kuna special consideration au? maana kwingine kote ni kama nafiti ila mtiti upo hapo tu. kama vipi ni pm.
Nimeona kuna tough road ahead of us single mamas, heri wewe una moja siye wenye wawili sijui tutoke vipi