Namtafuta Mume mwenye status kama yangu

Kwani kazi ya JF ni kuwapatia watu waume au mawazo? Kama hakuna mme basi hakuna mke pia maana vyote hutegemeana.
 
best wishes,na2mai utapata hitaji lako,cha msingi kuwa makini kwani kweny msafara wa mamba....some will take an advantage kutaka kukuchezea.
 
salaamu wanagreat thinkers, nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa mada mbalimbali zitolewazo hapa jukwaan bila ajizi nimeamua nami kujiunga ili nizifaidi kwa kina. Me ni mdada mwenye umri wa miaka 27,mrefu mwembamba kiasi,mjasiriamali mwenye elimu ya kidato cha nne pia napenda kujiendeleza panapo nafasi (kifedha zaidi) ni mama wa mtoto 1.nahitaji mume walau asizidi watoto wawili na awe hajawahi kufunga ndoa kama aliwahi kuishi na mwanamke co mbaya.vigezo awe mrefu,mkristo,asiwe mvuta sigara wala mlevi,awe ameajiri
https://www.jamiiforums.com/newthread.php

sifa zote ulizotaka ninazo nitafute NA jina langu halisi ndiyo hilohilo situmii pen name
 
Ninazo sifa hizo unazotaka, na pia hata mimi ninatafuta na nimeshajitangaza humu jamvini. Ni-pm tuendelee.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom