CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,864
Thread closed please!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi kama Matola nina sifa zote unazozitaka ila hapo kwenye Red naona utanikosa kwa hicho kikwazo maana mimi sijaajili na wala sijaajiliwa. think loud!!Salaamu wanagreat thinkers, nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa mada mbalimbali zitolewazo hapa jukwaan bila ajizi nimeamua nami kujiunga ili nizifaidi kwa kina. me ni mdada mwenye umri wa miaka 27,mrefu mwembamba kiasi,mjasiriamali mwenye elimu ya kidato cha nne pia napenda kujiendeleza panapo nafasi (kifedha zaidi) ni mama wa mtoto 1.nahitaji mume walau asizidi watoto wawili na awe hajawahi kufunga ndoa kama aliwahi kuishi na mwanamke co mbaya.vigezo awe mrefu,mkristo,asiwe mvuta sigara wala mlevi,awe ameajiri
https://www.jamiiforums.com/newthread.php
Mmmh! Sina lakusema hapa,kwa nini huyo aliye kupa mtt asiwe mumeo?
all the best charminggirl
Mmmh! Sina lakusema hapa,kwa nini huyo aliye kupa mtt asiwe mumeo?
Mmmh! Sina lakusema hapa,kwa nini huyo aliye kupa mtt asiwe mumeo?
Mmmh! Sina lakusema hapa,kwa nini huyo aliye kupa mtt asiwe mumeo?
Haya, naona hii wiki ya mapendo daima.
Mimi kama Matola nina sifa zote unazozitaka ila hapo kwenye Red naona utanikosa kwa hicho kikwazo maana mimi sijaajili na wala sijaajiliwa. think loud!!
Kuwa na Elimu ya kidato cha nne hakukufanyi usiwe na common sense!!.......tumia lugha kwamba unahitaji mwenye kipato halali, na wewe ni vizuri ungeeleza kama umeajiliwa au umejiajili, hii inaitwa check & balance mechanism.jmn samahan natumia cm ya mchina. nlikuwa ninamaanisha awe ameajiriwa ama amejiajiri.
mmh! Wana TYCSS utawajua 2.
Huyu Mungu bila shaka atakuwa ni Mungu wa Manyani na siyo yule ninayemfahamu mimi wa Isaka Na Yakobo.nahc ilikuwa ishapangwa na Mwenyezi Mungu kuwa mimi na yeye tusione. na sasa ana mke 4years back!
Hivi ule usemi ukipenda ua penda na boga lake,is applicable in nowdays!pole,natumia kicm cha mchina naona ujumbe umefka nusu nusu. nlikuwa namaanisha awe ameajiriwa ama amejiajiri!