sulfametopyrazine
Senior Member
- Apr 3, 2013
- 134
- 26
wavuta sigara mbona 2takomaa mwaka huu....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jmn samahan natumia cm ya mchina. nlikuwa ninamaanisha awe ameajiriwa ama amejiajiri.
Salaamu wanagreat thinkers, nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa mada mbalimbali zitolewazo hapa jukwaan bila ajizi nimeamua nami kujiunga ili nizifaidi kwa kina. me ni mdada mwenye umri wa miaka 27,mrefu mwembamba kiasi,mjasiriamali mwenye elimu ya kidato cha nne pia napenda kujiendeleza panapo nafasi (kifedha zaidi) ni mama wa mtoto 1.nahitaji mume walau asizidi watoto wawili na awe hajawahi kufunga ndoa kama aliwahi kuishi na mwanamke co mbaya.vigezo awe mrefu,mkristo,asiwe mvuta sigara wala mlevi,awe ameajiri
https://www.jamiiforums.com/newthread.php
Osenyuomi?
jmn samahan natumia cm ya mchina. Nlikuwa ninamaanisha awe ameajiriwa ama amejiajiri.
nani kufukua huu uzi?? Maana ni wasiku nyingi sana saivi atakua anakula maisha na mumewe