Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,106
heheee futa kauli sema mamaa billionea
namtafuta mumeo. Mpe taarifa
heheee futa kauli sema mamaa billionea
Namtafuta Manumba mara ya mwisho tuliachana Aga khan. Mimi nikiwa na wadudu wa maleria 1000 yeye 500. Mwenye kufahamu alipo ani PM
Namtafuta SELINA TEMBOnamtafuta grace joachim alisoma st thomas gongo la mboto alikua anakaa kisarawe
Namtafuta Anita Sityasa. Ukimwona mpe namba yangu ya simu anidipu nimpigie.namtafuta dizeven makundi
:yo:dah!ahsante kwa kunipa cheko asubuhi yote hii!
barikiwa sana!
Madame B: Tulikuwa wawili tu nilipokukopa, tena sirini.Sasa mbona wamwaga kuku wengi kwenye mchele mchache...?Okkkkkkkkkkkk.......... Kumbe ni wewe
Haya naomba nieleze kwa nini ulinikopa siku ile?
ameshaolewa huyoo
jiandae siku kuu yenu tarehe 1 april
wapiiiiiiiii