Amesha olewa na mkuryaNamtafuta ADIUNI KULUNGE, alisoma PCB Pale Benjamini Wiliam Mkapa High School 2000/2002. O LEVAL alisomea Jangwani Sec S, na alilkuwa anakaa BUGURUNI.
Nilipata tetesi kuwa kwasasa ni CLINICAL OFFICER,
ila sijabahatika kujua anapofanyia kazi. Tafadhali anayemjua au mwenye no zake za simu ani-PM
anipigie 07125205049
Hapo kwenye red nenda Nyaishoiza mbele ya Tegeta utamkuta ulizia Nyaishozi kwa dr.NgarindaNawatafuta Shija Herman, Gaspa Ndege na Libu Shija mara ya mwisho tuliachana kurasini.
Namtafuta Deus Nyenza mara ya mwisho tuliachana mbezi beach.
Wa mwisho msichana niliyempenda kwa dhati na hata toka katika moyo wangu. Anaitwa Jamila Kanyaishozi mtoto wa Dr mara ya mwisho tuliachana kwamtoro Kondoa.
Amesha olewa na mkurya
Namtafuta MAPAFU. Siku hizi nimeambiwa amekuwa mtu wa IT. Mara ya mwisho tuliachana IFM
Grace Joachim yupo kempisk hotel, nimfanyakazi wa hapo, nilikuwa na namba yake lakini nadhani nimeipoteza,
Mwezi wasita mwaka jana alikuwa Dubai na sasa yupo hapa dar kwenye hiyo hoteli, nenda mapokezi waambie wakuitie atakuja tu.