Namtafuta baba dula wani, zakaria ndemfoo, hassan keya kaniki, kaisi musa kaisi
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
HUYO jamaa alihama long time siku hizi hana makazi maalum yaani leo uk kesho us ,japan ,chinaNamtafuta mtalii mmoja hvi anaitwa jk,mara ya mwisho tuliachana nae morogoro kwenye harambee ya kuchangia ujenzi wa kanisa.
Nawatafuta jamaa zangu Kambale na Mamba wanakaa Mtoni...
namtafuta grace joachim alisoma st thomas gongo la mboto alikua anakaa kisarawe
Cc ChimbuvuNamtafuta Yusuph Mathias Kibajaji..
Mara ya mwisho alinitoroka Maisha Club.
Mwenye Cont zake, p'se ani Pm.
Ni mrefu maji ya kunde,
anatembelea Vogue.
Namtafuta Manumba mara ya mwisho tuliachana Aga khan. Mimi nikiwa na wadudu wa maleria 1000 yeye 500. Mwenye kufahamu alipo ani PM
Namtafuta Bishanga Bashaija. Mara ya mwisho nlmwona alpokuja kuniomba nimkopeshe hela ili akam honge kimada wake The secretary