namtafuta GRACE JOACHIM

namtafuta GRACE JOACHIM

Namtafuta mshahara,mara ya mwisho tulionana tarehe 28 feb 2013
 
Namtafuta Jakaya Mrisho!mara ya mwisho tulikutana Monduli jeshini! Mwenye kujua anijuze kwa PM!
 
Namtafuta Fabiola Joachim Kusare a.k.a. Super white na Jackline Pancras Mrina (Mihayo Second School)...1995-1998
 
Nawatafuta Zawadi Kachyoke, Asha Mshamu na Issa Mshamu.
 
Namtafuta Saidi moshi mara ya mwisho tulikuwa tunacheza naye ngoma kwenye bendi ya Mwinamila
 
namtafuta UKWAJU mara ya mwisho tuliachana SHYCOM ..

Ukwaju yupi Kwessy?
kana ndiye ni-PM nikupe contact nafanya nae kazi ofisi moja Arusha ila kwa sasa tupo shule DSM! kama ndo yeye nchek mkuu nikukutanishe nae!
 
Mkuu haya majina ya kina Grace, Joachim, James, Juma au Joseph ni common sana ukitaka kumpata mtu kwa urahisi tumia jina lake la ukoo (nyumbani) mfano Grace Masalakulangwa, au Grace Ndetabula.., hapo utakuwa ume-narrow search yako
 
Namtafuta Tumaini makenga, Sajida, rose mwila, josephine protus, arnord kalape, anand saboo, sk, mandeep, KKP, Edwin Zakaria, Remigious kailembo, kiongozi, omar matibwa hawa wote mara ya mwisho tuliachana upanga Dar
 
Namtafuta baba dula wani, zakaria ndemfoo, hassan keya kaniki, kaisi musa kaisi

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Namtafuta Edmund mara ya mwisho tulionana South Africa.
 
Natafuta magamba yaliyo mguu-ndani mguu-nje, mara ya mwisho nilionana nayo uchaguzi wa mwaka 2010 wakati wa kugawiwa rushwa (takrima)
 
Namtafuta ammy said mara ya mwisho tulionana mwenge mapambano...
 
Natafuta sana masaburi, mara ya mwisho niliyaona karibu na toilet seat.
 
Back
Top Bottom