Namshukuru sana Mungu kwa uamuzi wa busara wa kunipendelea na kuniumba mwanaume. Kwakweli utamu wa kitumbua unazidi raha zote duniani. Hivi kuna kitu kizuri kama kitumbua duniani? Lakini najiuliza wanawake nao huwa wanapata utamu uleule ninaopata mimi?
Mwita, hicho kitumbua unachokisifia ni cha mchele, mtama, au ngano????
Kwakweli Mungu ametupendelea sana wanaume, kitumbua kitamu sana jamani
Kwakweli Mungu ametupendelea sana wanaume, kitumbua kitamu sana jamani
Unga wa Mchele + sukari + hamila+ hiliki +maji ukichanganga ukaanga ukikaange na mafuta=KITUMBUA.......... Ndo hiki unachozungumzia au?Mbona kn vitamu zaidi.