G Gugwe Senior Member Jul 25, 2011 122 54 Oct 25, 2011 #81 Kumbe yule mpiganaji wa waasi aliamua kumuua gaddafi baada ya kutokea kutoelewana na wapiganaji wenzake
Kumbe yule mpiganaji wa waasi aliamua kumuua gaddafi baada ya kutokea kutoelewana na wapiganaji wenzake
bombu JF-Expert Member Jun 8, 2011 1,127 542 Oct 25, 2011 #83 AshaDii said: Makubwa!!! Khaaa! Click to expand... umeona eeh, dada? Makubwa kweli kweli, ngoja ntafute mbeleko
AshaDii said: Makubwa!!! Khaaa! Click to expand... umeona eeh, dada? Makubwa kweli kweli, ngoja ntafute mbeleko
Mulhat Mpunga JF-Expert Member Oct 28, 2010 27,263 16,288 Oct 25, 2011 #84 mpita njia said: si bure, lazima kuna kitu kimetokea Click to expand... inaelekea 25 katafuna kitumbua cha ukweli huko kwao alikua anatafuna vyenye mchanga tuu
mpita njia said: si bure, lazima kuna kitu kimetokea Click to expand... inaelekea 25 katafuna kitumbua cha ukweli huko kwao alikua anatafuna vyenye mchanga tuu