Kwanza, ili kuwaepusha na tamaa za kudokoa, watoto hawa wanapenda na wao washike pesa na wanunue mahitaji yao ya kula, ulaya watoto wana akaunti zao.
Pili, kuwaepusha na kurubuniwa na watu wenye nia mbaya. (wajomba bandia)
Tatu kuwaepusha na vipigo na kuchomwa moto toka kwa walezi wenye roho mbaya, hii itafanya upendo urudi.
Nne,watoto wataheshimika.
Mwisho wapo kama milioni moja au laki tano nchi nzima ukizidisha milioni moja Mara elfu moja ni bilioni moja kila mwezi kwa serikali ni pesa ndogo sana hiyo. Pia itaepusha usumbufu wa kuwapikia shuleni. Watoto wanapata tabu kuomba mia mia nyumbani.
Ikifika kila mwisho wa juma jumamosi wanaenda shule kuchukua elfu tano yao kila darasa na wakala mmoja wa simu wakulipa
Nb:kwa wale wa vijijini sana watapikiwa chakula wakitaka mana daladala si lazima kwao.
Kwanza, ili kuwaepusha na tamaa za kudokoa, watoto hawa wanapenda na wao washike pesa na wanunue mahitaji yao ya kula, ulaya watoto wana akaunti zao....
Je posho hizo watapewa shuleni? Walimu ndio watagawa?
Je utampa mzazi ili ampe mtoto?
Au badala ya kupewa pesa wapewe vocha ambazo itatumia badala ya pesa kwenye maduka maalum yaliyopo maeneo ya shule ili kupunguza uchakachuaji utakaofanywa na Mwalimu au Mzazi.
Kuna tofauti kubwa kati ya mtoto anayesoma akiwa na njaa na mtoto anayesoma akiwa na kitu tumboni.
Kwanza, ili kuwaepusha na tamaa za kudokoa, watoto hawa wanapenda na wao washike pesa na wanunue mahitaji yao ya kula, ulaya watoto wana akaunti zao...
Darasa la tatu tu kwa nchi nzima ni zaid ya million 3
La nne 2.+
Yaaaan hapo unamanisha wawalipe wanafunzi m7 hivi kisaaa? Hahahahaa labda ungesema buku iwe posho kwa wanafunzi wanaihudhuria shule mwezi mzima lakini pia wanafaul vizur masomo iwe kama posho iongeze molali Ila tukifukia Huko kodi wafanya biashara tujiandae kukamuliwa
Darasa la tatu tu kwa nchi nzima ni zaid ya million 3
La nne 2.+
Yaaaan hapo unamanisha wawalipe wanafunzi m7 hivi kisaaa? Hahahahaa labda ungesema buku iwe posho kwa wanafunzi wanaihudhuria shule mwezi mzima lakini pia wanafaul vizur masomo iwe kama posho iongeze molali Ila tukifukia Huko kodi wafanya biashara tujiandae kukamuliwa