Namshauri Ben Saanane, Siasa sio Uadui

nasikitika wachangiaji wengi ni wapumbavu wenye silka za kibavicha.
ila BEN ni kijana MWENYE MATATIZO MAKUBWA YA KUTOAMINIKA.
amini nawaambia. hata FREEMAN MBOWE anaishi na huyu dogo kimagumashi
 
Juliana walikunyima hata ukuu Wa wilaya pamoja na ile kazi ya kuzomea mjengon jipange mama umeshindwa kutumia jinsia yako vizuri ndio wanaondoka hivyo nenda katumie taluma yako ya sociology au ulishahau
 
Umemshauri vizuri maana kuna wanaozani ukikosa uongozi wa siasa hauendi mbinguni
 
Namshauri Ben Saanane, Siasa sio Uaduai.

Zamani kidogo, niliwahi kuwa na rafiki, rafiki ambaye nilimuamini, nikafanya nae kazi kwa ukaribu na kumshirikisha katika mambo yangu mengi. Wakati mwingine Urafiki unazidi Undugu, ndivyo ilivyokuwa kwangu na rafiki yangu huyu, alikuwa kama ndugu au zaidi ya ndugu Kwangu.

Nilipokutana nae, nilitambulishwa kwake kuwa huyu ni "mwenzetu" nami nikamchukulia kuwa ni "mwenzangu" kwani sikuwahi kuishi kwa mitego mitego na ulaghai katika maisha yangu ya siasa, niliishi kwa misimamo na kuabudu nilichokiamini, nilikuwa hivyo na nipo hivyo.

Namzunguzia Ben Saanane, kama mwanaharakati, rafiki na ndugu yangu. Namjua kwa kiasi kikubwa, naijua hulka na tabia zake, nasikitika kukiri mbele ya jukwaa hili kuwa ndugu yangu huyu SI MTU WA KUAMINIKA, mwenye Kinyongo, anayependa UADUI na PURUKUSHANI.

Nimesikia anataka UBUNGE kwao ROMBO - TARAKEA, na ameenda katika sura yake ile ile ya UADUI, sura ya Purukushani na Kinyongo, lakini baya zaidi nililosikia na kunisikitisha ameanza kuchonganisha wenzake, kama ilivyo kawaida yake.

Naomba nikushauri kupitia jukwaa hili, maana simu yangu siku hizi haupokei (UADUI), SIASA haifanywi namna unavyotaka kufanya wakati mwingine siasa ni Upepo, fuata unavyovuma, Usishindane nao...hauwezi kushindana na Upepo ukaushinda...na SIASA sio UADUI.

Juliana faragha umalizwa kwa faragha . Sugu vs Mlata!
 
Huyu BEN SAANANE kila siku huwa namwambia kule FB kuwa yeye kisiasa bado kabisa.
Tatizo la CHADEMA ni kuwa ukishakuwa na uwezo wa kupiga kelele, kutukana na kupandikiza chuki basi from that point unapewa cheo cha UKAMANDA.
Kuna kichaa mwingine tena wanamwita GOODLUKIES GOOD huyu naye akili yake kama ya BEN japo yeye umri umeenda ila mambo anayoyafanya ni kama haya haya ya BEN.

CHADEMA mmegeuza siasa kama mitaji yenu ya kutokea kwa kisingizio cha ukombozi kwa kuwalaghai watanzania wasioweza kuchanganua mambo hasa ya kisiasa ambao huamini kuwa kweli CHADEMA ni mkombozi wao kitu ambacho ni utapeli na ulaghai wa hali ya juu.

CHADEMA limegeuka kuwa genge la kujipatia pesa kwa hawa WACHAGA wa Kilimnjaro ambao kimsingi hawana vision y kisiasa bali kujipatia pesa za ruzuku toka serikalini.

Nawasisitiza watanzania waelewe kwanza kuwa sera za CHADEMA zilitungwa na Prof. Kitila Mkumbo, strategic planer wake alikuwa Mh. Zitto Zuberi Kabwe ambao kwa sasa wote wako ACT WAZALENDO.

Ni dhahiri kuwa kwa sasa watanzania wanapaswa kujifunza kitu juu ya hiki chama laghai cha CHADEMA.

CCM uozo, CHADEMA uozo. Karata imebaki moja tu mikononi mwa watanzania nayo ni ACT WAZAKENDO


Sera ya chadema iliandikwa na Kitila Mkumbo so what? Kwataarifa yako wananchi wako aware zaidi na ule waraka wao ( M1,M2,&M3) kuliko hiyo sera unayozungumzia.
Huwezi futia wanachama ACT kwa kuichafua Chadema.
 
Namshauri Ben Saanane, Siasa sio Uaduai.

Zamani kidogo, niliwahi kuwa na rafiki, rafiki ambaye nilimuamini, nikafanya nae kazi kwa ukaribu na kumshirikisha katika mambo yangu mengi. Wakati mwingine Urafiki unazidi Undugu, ndivyo ilivyokuwa kwangu na rafiki yangu huyu, alikuwa kama ndugu au zaidi ya ndugu Kwangu.

Nilipokutana nae, nilitambulishwa kwake kuwa huyu ni "mwenzetu" nami nikamchukulia kuwa ni "mwenzangu" kwani sikuwahi kuishi kwa mitego mitego na ulaghai katika maisha yangu ya siasa, niliishi kwa misimamo na kuabudu nilichokiamini, nilikuwa hivyo na nipo hivyo.

Namzunguzia Ben Saanane, kama mwanaharakati, rafiki na ndugu yangu. Namjua kwa kiasi kikubwa, naijua hulka na tabia zake, nasikitika kukiri mbele ya jukwaa hili kuwa ndugu yangu huyu SI MTU WA KUAMINIKA, mwenye Kinyongo, anayependa UADUI na PURUKUSHANI.

Nimesikia anataka UBUNGE kwao ROMBO - TARAKEA, na ameenda katika sura yake ile ile ya UADUI, sura ya Purukushani na Kinyongo, lakini baya zaidi nililosikia na kunisikitisha ameanza kuchonganisha wenzake, kama ilivyo kawaida yake.

Naomba nikushauri kupitia jukwaa hili, maana simu yangu siku hizi haupokei (UADUI), SIASA haifanywi namna unavyotaka kufanya wakati mwingine siasa ni Upepo, fuata unavyovuma, Usishindane nao...hauwezi kushindana na Upepo ukaushinda...na SIASA sio UADUI.

"Politics is not a game it is action, it is beyond relationship, and it is reality"

Kwa mwanaharakati ambaye yuko kwenye siasa lazima atambue hilo.hauwezi kuwa rafiki the same time unataka kuwa mwanaharakati ndani ya siasa.lazima uwe tofauti kiutendaji na uwe na dhamira na msimamo mmoja.

Am talking about real politics
 
mbona ushauri wa shonza ni mzuri zaidi kwa afya ya mwana siasa ?
ila ukiweka ukada wako mbele utaona ushauri mbovu ben ni ngumu sana kupita kwenye siasa za cdm alishatumikishwa na wanasiasa kugombanisha watu kwa sasa kawa mfuko wa plastic uliotumika hua unatupwa tu au kungalia kama unafaa pole ben
 
mbona ushauri wa shonza ni mzuri zaidi kwa afya ya mwana siasa ?
ila ukiweka ukada wako mbele utaona ushauri mbovu ben ni ngumu sana kupita kwenye siasa za cdm alishatumikishwa na wanasiasa kugombanisha watu kwa sasa kawa mfuko wa plastic uliotumika hua unatupwa tu au kungalia kama unafaa pole ben

Yaani umeandika kwa hasira mno
 
Back
Top Bottom