Huyu BEN SAANANE kila siku huwa namwambia kule FB kuwa yeye kisiasa bado kabisa.
Tatizo la CHADEMA ni kuwa ukishakuwa na uwezo wa kupiga kelele, kutukana na kupandikiza chuki basi from that point unapewa cheo cha UKAMANDA.
Kuna kichaa mwingine tena wanamwita GOODLUKIES GOOD huyu naye akili yake kama ya BEN japo yeye umri umeenda ila mambo anayoyafanya ni kama haya haya ya BEN.
CHADEMA mmegeuza siasa kama mitaji yenu ya kutokea kwa kisingizio cha ukombozi kwa kuwalaghai watanzania wasioweza kuchanganua mambo hasa ya kisiasa ambao huamini kuwa kweli CHADEMA ni mkombozi wao kitu ambacho ni utapeli na ulaghai wa hali ya juu.
CHADEMA limegeuka kuwa genge la kujipatia pesa kwa hawa WACHAGA wa Kilimnjaro ambao kimsingi hawana vision y kisiasa bali kujipatia pesa za ruzuku toka serikalini.
Nawasisitiza watanzania waelewe kwanza kuwa sera za CHADEMA zilitungwa na Prof. Kitila Mkumbo, strategic planer wake alikuwa Mh. Zitto Zuberi Kabwe ambao kwa sasa wote wako ACT WAZALENDO.
Ni dhahiri kuwa kwa sasa watanzania wanapaswa kujifunza kitu juu ya hiki chama laghai cha CHADEMA.
CCM uozo, CHADEMA uozo. Karata imebaki moja tu mikononi mwa watanzania nayo ni ACT WAZAKENDO
Tumekuelewa vizuri mke wa zito.u first lady huupati kwa njia hii,bwanaako zzk alishakuwa msaliti na usaliti wake umeandikwa duniani na jehabam,so sahau kuwa first lady kupitia kwa zzk pia kuwa mwangalifu asijekusaliti na wewe maana dhambi ya usaliti inaendelea