Sio Simanjiro ni Njiro jijini Arusha, pia ana ofisi yake ArushaMwakasege akiwa Dar anaabudu Azania Front Lutheran Church Postal mpya
Ana of is Luther House Azania Front
Mbezi Beach Lutheran Tangibovu anaalikwaga seminar
Anaishi Simanjiro bwana sio kijenge
Zafanana kiasiiNachanganyaga sana kati ya njiro na simanjiro
Hadi ndoa Money Penny.Inabidi na wewe ule MANA ya kutosha.Ukishiba MANA tutaongea lugha moja.Hahahaha
Mguu pande je
Heeeeh?Ndio nan
Kabisaaa..... Na zama hizi zilivo za hatari usipokua na mafundisho na neno lakutosha lazima uende na maji.Wakristo wakitulia na kujifunza kuhusu Imani yao, kamwe hawata kimbilia miujiza, sijui magari, utajiri na mengine kibao..coz everything they chase are kept in the package of how well they have been grounded in the knowledge of their Leader, Jesus Christ. And this is what makes Mwl Mwakasege exceptional. Anakufundisha, unaelewa, unajua wapi unakoea na sio kwenda kununua sijui maji mara mafuta.
Bible iko clear, watu wa Mungu 'wanaangamizwa' kwa kukosa maarifa, so some folks who call themselves sijui Prophets use this lack of knowledge to their advantage. Tukae chini tujifunze, all we need are in one package of knowledge which come as a result of being well taught na kuitumia positively knowledge uliyopata.
I really appreciate Mwl Christopher Mwasege amekua Baraka sana kwenye maisha yangu. God bless him sana.
We nawe mada yako umeiharibu buree, sa huko kwenye mapenzi unakoelekeza watu waende kuna nini haswa???????Eh basi unapoteza Mengi
Mwakasege alifundisha la ndoto na la madhabahu ya viti vya enzi vya duniani jinsi ya kumiliki na kutawala na bwana Yesu
Nomaaa
Uje na huku kwa shetani basi Story: Mahusiano
Ni somo lililonifanya nizidi kuitafuta kweli ya INJILI. Mzaliwa wa kwanza ana nafasi gani kwenye Agano Jipya? Msaada hapo.Kuna somo niliwahi kuhudhuria semina yake alilipa jina la MALANGO!...Sijui kama kunasomo la kiroho lililonibariki kama hili.
Mungu ampe afya tele mtumwa wake huyu.
Loh, Arusha unapajua? Mtu ataishije Simanjiro halaf asali KKKT Kijenge? Au ulitaka kusema NJIRO? Nikusaidie tu Mwl.Mwakasege anaishi Olorieni Arusha, ni mitaa tu hiyo hiyo ya KijengeAnaishi Simanjiro bwana sio kijenge
Nilipata bahat ya kulirekod lote ndugu yangu we acha tu,yule jamaa anakipawa na kinachonivutia kwake amejitofautisha kabsa na waalik wwngine wa diniKuna somo niliwahi kuhudhuria semina yake alilipa jina la MALANGO!...Sijui kama kunasomo la kiroho lililonibariki kama hili.
Mungu ampe afya tele mtumwa wake huyu.