EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 8,558
- 12,684
Mwakasege alikuwa na safari mbili zilizogongana ya kwanza alialikwa kilombero na ya pili alialikwa UN New York.Alikuwa njia panda akalifikisha jambo hilo kwa Mungu na kuuliza wapi aende,Mungu alimjibu aende Kilombero