Nampenda Mtumishi wa Mungu Mwalimu Christopher Mwakasege.

Mwakasege alikuwa na safari mbili zilizogongana ya kwanza alialikwa kilombero na ya pili alialikwa UN New York.Alikuwa njia panda akalifikisha jambo hilo kwa Mungu na kuuliza wapi aende,Mungu alimjibu aende Kilombero
 
Karibu mana ministry,najivunia kuwa sehemy ya huduma ya mana/mtenda kazi katika huduma yake najivunia kupitia huduma yake nimekua kiimani,na naendelea kukua katika jina la Yesu!
Hongera!

Uko wapi? Ni mwanakamati wa kudumu au ni mhudumu nyakati za semina?

But all in all, hongera kwa kuamua kumtumikia Mungu.
 
Bwana Yesu Asifiwe jamani nampendaga sana Mtumishi wa Mungu Christopher Mwakasege kwanza hana Scandals ,Pili anampenda Mungu kikweli kweli tatu hana mafundisho ya uongo nne hajawahi kuchuja tangu nipo mdogo miaka 5 naenda kwenye mahubiri yake anakuja kuhubiri pale Upanga mtaani kwetu Lugalo mpaka leo alafu yupo hivyo hivyo!

Alafu huyu baba hazeeki jamaa doh kila siku yupo hivyo hivyo kama Malaika
watumishi wengine wangejifunza toka kwa huyu baba siri ya kumtumikia Mungu
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu na Mwalimu Christopher Mwakasege AMEN
✅🙏
 
Mmmh! Mie sina neno na huyu ila tatizo langu ni hyo asili yake karibu wachungaji wote maarufu wa Dar wana asili ya Mbeya

Mwakasege mbeya
Lusekelo mbeya
Mwaiposye mbeya
Mwanani nani sijui mbeya!
Watumishi wa kutoka Mbeya wote wezi tu wanatumia ndumba nangai
 
Mmmh! Mie sina neno na huyu ila tatizo langu ni hyo asili yake karibu wachungaji wote maarufu wa Dar wana asili ya Mbeya

Mwakasege mbeya
Lusekelo mbeya
Mwaiposye mbeya
Mwanani nani sijui mbeya!
Nuru itakuwa ilianzia huko halafu ndiyo ikasmabaa kuelekea sehemu zingine.

"Inabidi pale kwenye almasi, pafanane fanane na almasi". Mzee Mapesa
 
Back
Top Bottom