Nampenda Mtumishi wa Mungu Mwalimu Christopher Mwakasege.

Mwakasege akiwa Dar anaabudu Azania Front Lutheran Church Postal mpya
Ana of is Luther House Azania Front
Mbezi Beach Lutheran Tangibovu anaalikwaga seminar
Anaishi Simanjiro bwana sio kijenge
Sio Simanjiro ni Njiro jijini Arusha, pia ana ofisi yake Arusha
 
Daaah asante sana kwa kweli,pale anapokuja dar sijawah kosa semina zake kama nipo dar na mm,na pili nakumbuka tulienda na mke wng kwa ushauri tu kwake,akamwambia mke wngu ,,akasema nimeona kitu juu yako,nmeona umechanua kama maua,nmeona jina lako mahali fulan hakika utapata kile kilichokuleta,usiache kumshukuru Mungu maana amekustawisha kwa iman yako kwake,leo kalale kesho kabla ya saa kenda utaona nguvu ya Mungu,,kesho yake sa saba mke anapigiwa simu kwamba jina lako limetoka la kwanza kbsa kwenda kusoma nje..na tulishadunda zaid ya mara mbili kufukuzia scholaship,,toka siku hyo kiukwel siwez acha kusikiliza mahubiri yake tu hata Youtube,amenijenga snaa kiiman na Mungu azid kumwongezea kwa kwwli
 
Wakristo wakitulia na kujifunza kuhusu Imani yao, kamwe hawata kimbilia miujiza, sijui magari, utajiri na mengine kibao..coz everything they chase are kept in the package of how well they have been grounded in the knowledge of their Leader, Jesus Christ. And this is what makes Mwl Mwakasege exceptional. Anakufundisha, unaelewa, unajua wapi unakoea na sio kwenda kununua sijui maji mara mafuta.

Bible iko clear, watu wa Mungu 'wanaangamizwa' kwa kukosa maarifa, so some folks who call themselves sijui Prophets use this lack of knowledge to their advantage. Tukae chini tujifunze, all we need are in one package of knowledge which come as a result of being well taught na kuitumia positively knowledge uliyopata.

I really appreciate Mwl Christopher Mwasege amekua Baraka sana kwenye maisha yangu. God bless him sana.
Kabisaaa..... Na zama hizi zilivo za hatari usipokua na mafundisho na neno lakutosha lazima uende na maji.
 
Mafundisho ya Mwl Christopher Mwakasege yana [pumzi ya Mungu kabisa maaana ni yanafaa kabisa kwa maisha yetu kwa hali ya juu sana .tofauti na mikorogo mingine, hqalafu yuko humble sana hata kanisani anaposali kijenge ni muumini tu wa kawaida anasemaga Hamtazami aliyesimama mbele kufundisha ni nani lakin anaimani kinachoshushwa ni chakula chenye pumzi ya Bwana. Mungu azidi kumbariki sana huyu Mwl,
 
Mh!
Sina shida na sifa za mchungaji huyo wa kondoo ila upendo uliotajwa na mtoa mada hapo juu ulimaanisha hasa kuwa yu ampenda hasa kama mwalimu na mlezi wake kiimani ama ule wa kutamani awe mlezi na baba wa watoto wake?
Ni sentensi tata hasa kwetu sisi wa darasa la tatu A.
 
38 Reactions
Reply
Back
Top Bottom