Mwl Mwakujonga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2023
- 286
- 582
Utangulizi
Mara ya Kwanza mkristo unapopata Neema ya kuhokoka , Roho Mtakatifu anaingia ndani yako na pale anapoingia ndani yako kuna kiu ya kutaka kumjua Mungu Sana inaingia ndani yako
Unakuwa na kiu kubwa Sana ya kumjua Mungu na wengine Kwa kukosa msaada wanajikuta wameingia kwenye njia mahangaiko ya kila aina
Namshukuru Mungu mara baada ya kuhokoka aliweka kiu ndani yangu ya kumjua yeye na nilipata walezi wakuniongoza na kunisaidia na kitu cha muhimu zaidi aliweka ndani yangu bidii ya kusoma Neno na kuwasilikiza watumishi mbalimbali ambao wamekuwa wazazi wangu WA kiroho
Nakumbuka mara baada ya kuhokoka Ile kiu ya kusoma Neno la Mungu ilileta Hofu nyumbani kwetu wakajua kijana huyu SASA hivi atatangaza anataka kwenda kusoma uchungaji, Hadi wazazi wakawa wananikataza kusoma Sana biblia??
Nilikuwa nakiu Sana ya kumtumikia Mungu na nilitumika Kwa sehemu yangu nilitumika kanisani kwenye vijana na shuleni pia nilitumika , bahati mbaya nilipata Neema nikiwa ndo ninamaliza masomo yangu niingie mtaani kutafufa Maisha
Kiu ya kumtumikia Mungu iliniweka njia panda Kati ya kufanya kazi au kumtumikia Mungu , namshukuru Mungu Kwa Baba yangu WA kiroho Mwl Christopher Mwakasege Kwa mafundisho yake ambayo kwakweli yaliniwekea kizuizi cha kuhacha kazi pasipo maelekezo ya Mungu
Mara Kwa mara Mwl alikuwa anasema kwenye mafundisho yake kwamba tumsikilize Mungu kabla ya kufanya maamuzi ya kuhacha kazi na kweli nilimsikiliza na ninaendelea kumskiliza kwakweli
Mwingine ni Askofu wangu msaidizi alikuwa msaada kwangu ni rafiki yangu Hadi kesho lakini alikuwa ananisisitiza Sana kufanya kazi Kwa bidii hata siku moja hakuwai kuniambia kuacha kazi niende kwenye uchungaji ingawa alikuwa ana nafasi ya kunipelekea chuoni tena buree lakini hakuwai kunishauri hicho kitu
Niliendelea kumtafuta Mungu kujua kusudi la Mimi kuweko duniani , ni hasara Sana kukaa duniani na kuondoka pasipo kujua kusudi lako uliloitiwa
Mungu ni mwaminifu nilipomtafuta Mungu kweli alinionekania akanijibu maswali ambayo zaidi ya miaka 10 iliyopita nilikuwa ninayo juu ya wito ambao Mungu ameweka
Biblia inasema kila aliye na mwana anao ushuhuda Ile kuwa na ushuhuda wa Mungu sio tiketi ya kwamba umeitwa kuwa mchungaji hapana
Mungu anataka kuwa na watu katika kila eneo, unaposoma neno la Mungu , unapata ufahamu juu ya kumtumikia Mungu , kila eneo Mungu ameliweka ili watu waweze kumtumikia
Ndio maana kama umehokoka na unafanya kazi usifanye haraka kuacha kazi , kama kwenye hiyo kazi muulize Mungu amekuitia nini? Kuna habari nyingi tunasoma watu wanaacha masomo wanaacha kazi wanaamua kumtumikia Mungu
Kumbe shetani anawatoa kwenye Edeni Zao , ukiona Mungu amekuokoa ukiwa katika kazi yoyote usijaribu kuacha kazi au kubadirisha kazi endelea kufanya hiyo kazi Hadi siku Mungu aseme sasa Nenda kituo kinachofata
Watu wengi wamearibu Maisha Yao Kwa kuacha kazi pasipo kupewa maelekezo na Mungu na mwisho WA siku Maisha Yao yamearibika
Hata kama Mtumishi WA Mungu ni mkubwa kiasi gani usikubali kupokea ushauri wowote WA kuacha kazi msikilize Mungu kwanza utakuja kujutia maamuzi yako baadae
Sio kila ushauri unatoka Kwa Mungu na duniani kuna watumishi wengine wanatumiwa na shetani pasipo kujijua kuwa muangalifu Sana kwenye maamuzi juu ya Maisha yako.
Hata kama ni nabii kama Musa ambaye anasema na Mungu uso Kwa uso ,nakusisitiza tena usijaribu kuacha kazi au masomo au biashara pasipo kumshirikisha Mungu labda kama biashara sio halali Kwa mujibu wa Sheria na maandiko hiyo omba Mungu akufungulie mlango WA kutokea
Na Mungu akubariki
Mara ya Kwanza mkristo unapopata Neema ya kuhokoka , Roho Mtakatifu anaingia ndani yako na pale anapoingia ndani yako kuna kiu ya kutaka kumjua Mungu Sana inaingia ndani yako
Unakuwa na kiu kubwa Sana ya kumjua Mungu na wengine Kwa kukosa msaada wanajikuta wameingia kwenye njia mahangaiko ya kila aina
Namshukuru Mungu mara baada ya kuhokoka aliweka kiu ndani yangu ya kumjua yeye na nilipata walezi wakuniongoza na kunisaidia na kitu cha muhimu zaidi aliweka ndani yangu bidii ya kusoma Neno na kuwasilikiza watumishi mbalimbali ambao wamekuwa wazazi wangu WA kiroho
Nakumbuka mara baada ya kuhokoka Ile kiu ya kusoma Neno la Mungu ilileta Hofu nyumbani kwetu wakajua kijana huyu SASA hivi atatangaza anataka kwenda kusoma uchungaji, Hadi wazazi wakawa wananikataza kusoma Sana biblia??
Nilikuwa nakiu Sana ya kumtumikia Mungu na nilitumika Kwa sehemu yangu nilitumika kanisani kwenye vijana na shuleni pia nilitumika , bahati mbaya nilipata Neema nikiwa ndo ninamaliza masomo yangu niingie mtaani kutafufa Maisha
Kiu ya kumtumikia Mungu iliniweka njia panda Kati ya kufanya kazi au kumtumikia Mungu , namshukuru Mungu Kwa Baba yangu WA kiroho Mwl Christopher Mwakasege Kwa mafundisho yake ambayo kwakweli yaliniwekea kizuizi cha kuhacha kazi pasipo maelekezo ya Mungu
Mara Kwa mara Mwl alikuwa anasema kwenye mafundisho yake kwamba tumsikilize Mungu kabla ya kufanya maamuzi ya kuhacha kazi na kweli nilimsikiliza na ninaendelea kumskiliza kwakweli
Mwingine ni Askofu wangu msaidizi alikuwa msaada kwangu ni rafiki yangu Hadi kesho lakini alikuwa ananisisitiza Sana kufanya kazi Kwa bidii hata siku moja hakuwai kuniambia kuacha kazi niende kwenye uchungaji ingawa alikuwa ana nafasi ya kunipelekea chuoni tena buree lakini hakuwai kunishauri hicho kitu
Niliendelea kumtafuta Mungu kujua kusudi la Mimi kuweko duniani , ni hasara Sana kukaa duniani na kuondoka pasipo kujua kusudi lako uliloitiwa
Mungu ni mwaminifu nilipomtafuta Mungu kweli alinionekania akanijibu maswali ambayo zaidi ya miaka 10 iliyopita nilikuwa ninayo juu ya wito ambao Mungu ameweka
Biblia inasema kila aliye na mwana anao ushuhuda Ile kuwa na ushuhuda wa Mungu sio tiketi ya kwamba umeitwa kuwa mchungaji hapana
Mungu anataka kuwa na watu katika kila eneo, unaposoma neno la Mungu , unapata ufahamu juu ya kumtumikia Mungu , kila eneo Mungu ameliweka ili watu waweze kumtumikia
Ndio maana kama umehokoka na unafanya kazi usifanye haraka kuacha kazi , kama kwenye hiyo kazi muulize Mungu amekuitia nini? Kuna habari nyingi tunasoma watu wanaacha masomo wanaacha kazi wanaamua kumtumikia Mungu
Kumbe shetani anawatoa kwenye Edeni Zao , ukiona Mungu amekuokoa ukiwa katika kazi yoyote usijaribu kuacha kazi au kubadirisha kazi endelea kufanya hiyo kazi Hadi siku Mungu aseme sasa Nenda kituo kinachofata
Watu wengi wamearibu Maisha Yao Kwa kuacha kazi pasipo kupewa maelekezo na Mungu na mwisho WA siku Maisha Yao yamearibika
Hata kama Mtumishi WA Mungu ni mkubwa kiasi gani usikubali kupokea ushauri wowote WA kuacha kazi msikilize Mungu kwanza utakuja kujutia maamuzi yako baadae
Sio kila ushauri unatoka Kwa Mungu na duniani kuna watumishi wengine wanatumiwa na shetani pasipo kujijua kuwa muangalifu Sana kwenye maamuzi juu ya Maisha yako.
Hata kama ni nabii kama Musa ambaye anasema na Mungu uso Kwa uso ,nakusisitiza tena usijaribu kuacha kazi au masomo au biashara pasipo kumshirikisha Mungu labda kama biashara sio halali Kwa mujibu wa Sheria na maandiko hiyo omba Mungu akufungulie mlango WA kutokea
Na Mungu akubariki