Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,144
- 26,648
1and only ,best teacher ever see
Vipo vitabu 2Ni somo lililonifanya nizidi kuitafuta kweli ya INJILI. Mzaliwa wa kwanza ana nafasi gani kwenye Agano Jipya? Msaada hapo.
AmenKaribu mana ministry,najivunia kuwa sehemy ya huduma ya mana/mtenda kazi katika huduma yake najivunia kupitia huduma yake nimekua kiimani,na naendelea kukua katika jina la Yesu!
WowMafundisho yake akija pale upanga hadi first lady wetu mwenyewe anaenda namsikilizaga kwa kupitia radio wapo.
Washindwe Kwa jina la YesuKumbe kuna watu wengi waliobarikiwa na huduma ya Mwakasege? Sasa mbona kuna watu wanaomtukana na kumkejeli mitandaoni kwa kumwita majina yasiyo na staha? Ama kweli mti wenye matunda ndiyo hupigwa mawe. Mungu aendelee kumtia nguvu mtumishi Wake, Mwl C. Mwakasege. Hata mimi nimebarikiwa sana na huduma yake.
Mungu awaweke huru dhidi ya hizo roho zinazowasukuma kumnenea maovu mpakwa mafuta wa BWANA.Washindwe Kwa jina la Yesu
uweeeMungu awaweke huru dhidi ya hizo roho zinazowasukuma kumnenea maovu mpakwa mafuta wa BWANA.
Hapana hapa tunamuongelea Christopher Mwakasege na sio huyo Mwakasrge mlevi wa konyagiMwakasrge huyu mlevi wa konyagi ama ni yupi
Hapana. Ni Mwakasege mtumishi wa Mungu aliye hai.Mwakasrge huyu mlevi wa konyagi ama ni yupi
aminaaaaHapana. Ni Mwakasege mtumishi wa Mungu aliye hai.
🙏🙏🙏He is a spiritual leader that can be trusted, no more no less.
Kuumbwa na Mungu kwa kusudi maalum ni jambo Moja na kuliishi hilo kusudi ni jambo jingineUmeamua kujivika nafasi ya kuamua nani mtumishi wa Mungu na nani mtumishi wa shetani..!
Elewa kitu kimoja upofu wako wa elimu ya dini ndiyo unakufanya ujione kama kuna watu wameumbwa special kumtumikia Mungu.
Natangaza nikiwa kifua mbele kutangaza kuwa mimi ni mkatoliki, na imani yangu ya kikatoliki natambua KUSUDI LA MUNGU NI KUTUUMBA NI HAYA:-
1: TUMJUE
2: TUMPENDE
3: TUMTUMIKIE
Sasa na ndiyo ujue kuwa kila mtu kaumbwa Mungu kwa makusudi maalum haya.
Lutheran?Malizia hana udini wala udhehebu, najivunia sana huyu mtumishi nimejifunza mengi sana kupitia yeye, Mungu azidi kumuinua