Utawala2025
JF-Expert Member
- Oct 20, 2023
- 330
- 1,060
Habari.
Ikiwa Mwalimu wa neno wa muda mrefu Christopher Mwakasege amejizoelea umaarufu katika kufanya mikutano takriban mikoa yote Tanzania kwa muda mrefu sasa.
Leo hii nikiwa kama mdau wa JF ninamuona Mahubiri wa Mungu Pastor Tony Kapola anaenda kurithi kiti cha Mwalimu.
WanaJF naombeni mmtie moyo, msimkatishe tamaa kwa kumsema.
Ikiwa Mwalimu wa neno wa muda mrefu Christopher Mwakasege amejizoelea umaarufu katika kufanya mikutano takriban mikoa yote Tanzania kwa muda mrefu sasa.
Leo hii nikiwa kama mdau wa JF ninamuona Mahubiri wa Mungu Pastor Tony Kapola anaenda kurithi kiti cha Mwalimu.
WanaJF naombeni mmtie moyo, msimkatishe tamaa kwa kumsema.