Umeamua kujivika nafasi ya kuamua nani mtumishi wa Mungu na nani mtumishi wa shetani..!Bwana Yesu Asifiwe?!
Jamani nampendaga sana Mtumishi wa Mungu Christopher Mwakasege
Kwanza hana Scandals
Pili anampenda Mungu kikweli kweli
Tatu hana mafundisho ya uongo..
Nne hajawahi kuchuja tangu nipo mdogo miaka 5 naenda kwenye mahubiri yake anakuja kuhubiri pale Upanga Mtaani kwetu Lugalo... mpaka leo alafu yupo hivyo hivyo!
Alafu huyu baba hazeeki jamaa doh ... kila siku yupo hivyo hivyo kama Malaika
Watumishi wengine wangejifunza toka kwa huyu Baba siri ya kumtumikia Mungu
Mungu Akubariki sana Mtumishi wa Mungu na Mwalimu Christopher Mwakasege.. AMEN
AmenHaleluya
Watu mna ubaguzi khaa!!Mmmh! Mie sina neno na huyu ila tatzo langu ni hyo asili yake!! Karibu wachungaji wote maarufu wa Dar wana asili ya Mbeya
Mwakasege mbeya
Lusekelo mbeya
Mwaiposye mbeya
Mwanani nani sijui mbeya!
Na kwl yesu wake kijana aisehYesu wake ni kijana
sawa tumekusikia pepo
Mwakasege ni msharika wa Kijenge Arusha na sio Dar, japo akiwa Dar huabudu zaidi Mbezi beach Lutheran...nisahihishwe plzMmmh! Mie sina neno na huyu ila tatzo langu ni hyo asili yake!! Karibu wachungaji wote maarufu wa Dar wana asili ya Mbeya
Mwakasege mbeya
Lusekelo mbeya
Mwaiposye mbeya
Mwanani nani sijui mbeya!
hana kanisa njoo youtube usikilize mahubiri yake
Kwa hapa dasalama anapatikana wapi nianze kwenda kusali kwa kanisa lake