Nampenda boss wangu aliyeniajiri

Nampenda boss wangu aliyeniajiri

SIMPLE:
Fikisha ujumbe indirect;
Jifanye unamuuliza swali hili..''HR wewe kama binadamu unajua kuna kupenda,na kupenda sio kosa,upendo hauchagui sura,rangi,kabila wala umri..je ikitokea umempenda boss wako utamwambia au utakaa kimya?..na kama utakaa kimya je ni kwann umeamua hvyo?...naomba ushauri tu maana yule binti niliyekuja nae ktk event ya ofisin kwetu ni mmiliki wa kampuni flani ndogo ya ushonaji na amependwa na mfanyakaz wake...kaniuliza nimekosa jibu hvyo naomba ushauri wako nimjibu vp?''''
UKIMUULIZA HVYO WALA HATOKUFUKUZA KAZI ILA UJUMBE UTAMFIKIA KWANI YEYE SIO MTOTO..NA AKIONYESHA KUCHUKIZWA NA SWALI LAKO NAWE JIFANYE KAUZU HUNA TIME NAE NA UFUATE ILE KAULI MBIU YA '''HAPA KAZI TU''
Sat 9:18pm
Mkuu jangala nimemuuliza kanijibu hii

"akae kimya... coz hayo ni matamanio ya mwili tu."
Sat 10:13pm
asante sana
 
SIMPLE:
Fikisha ujumbe indirect;
Jifanye unamuuliza swali hili..''HR wewe kama binadamu unajua kuna kupenda,na kupenda sio kosa,upendo hauchagui sura,rangi,kabila wala umri..je ikitokea umempenda boss wako utamwambia au utakaa kimya?..na kama utakaa kimya je ni kwann umeamua hvyo?...naomba ushauri tu maana yule binti niliyekuja nae ktk event ya ofisin kwetu ni mmiliki wa kampuni flani ndogo ya ushonaji na amependwa na mfanyakaz wake...kaniuliza nimekosa jibu hvyo naomba ushauri wako nimjibu vp?''''
UKIMUULIZA HVYO WALA HATOKUFUKUZA KAZI ILA UJUMBE UTAMFIKIA KWANI YEYE SIO MTOTO..NA AKIONYESHA KUCHUKIZWA NA SWALI LAKO NAWE JIFANYE KAUZU HUNA TIME NAE NA UFUATE ILE KAULI MBIU YA '''HAPA KAZI TU''
Huu ndo ushauri peeke utakaomsaidia mtoa mada, ushauri uliyojaa busara na huwezi athiri kibarua chako.
 
Habari za jioni guys,

Tafadhari naomba mnisaidie katika ili, naomba niseme wazi mimi siyo timbulo.

Miezi mitatu iliyopita nimeajiliwa na kampuni moja hivi hapa mjini, hiyo kampuni ni ya wahindi na huyo dada ndo HR wa hii kampuni. Baada ya kuajiliwa nilimtumia ujumbe (txt) kumshukuru kwa kuona mimi naweza kufanya nao kazi, akanijibu kwa text akinileza ni jambo la kawaida katika maisha kikubwa ni focus kwenye kazi.

Katika mazingira ya kawaida nimejikuta naanza kumpenda kimapenzi na ninahisi hata yeye ananipenda pia, kwanini nasema na yeye ananipenda pia? Kuna siku tulikuwa na event hapa ofini kwetu mialiko ikatolewa kwa watu mbalimbali na nikamwalika rafiki wangu mmoja wa kike siyo mpenzi wangu wakati wa hafla ikiendelea nilikuwa na huyo rafiki yangu muda mwingi akanifata na kuniuliza mbona umemganda sana huyu dada, kuna mfanyakazi mwenzangu wa kike akamjibu ni wifi yetu huyo, akajibu muwe mnasema jamani akaondoka.

Kesho yake ofisini ikawa story kuhusu mimi na huyo wifi yao waliyenipatia.

Siku nyingine ikatokea safari nje ya mjini ya siku mbili tukatoka mimi, yeye na dereva jioni sasa wakati wa kutafuta hoteli ya kulala, bahati mbaya hotel tulipoenda tukakuta nafasi moja tu yeye akaichukua mimi na dereva tukaenda kutafuta mahali pengine tukaagana turudi pale tukishapata ili tukale chakula pamoja tukakubaliana hivyo.

Muda mchache akanipigia simu akakuta simu inatumika naongea na mtu, baada ya kukata akanipigia tena na akaniuliza ulikuwa unamuaga wifi nini? Na siyo mara moja kuniuliza hivyo nikamjibu mimi nipo single akacheka akaniuliza mmepata room nikamwambia yah! Akasema mje basi.

Nisiwachoshe ni mambo mengi sana, naomba mnisaidie ni jinsi gani ya kumfikishia ujumbe kuwa nampenda maana naogopa maana naweza kumweleza hilo jambo likazua mambo mengine mabaya maana natafuta maisha, niliwahi kumwalika chakula cha jioni akaniambia amechoka siku hiyo ana kazi ya ufuaji hivyo haitowezekana kwa siku hiyo

Uwa nachat nae na kumpigia simu nikitaka kuongelea hayo mambo uwa ananirudisha kwenye maswala ya kazi hata kama hamko kazini

Kuna siku nikamtext wasup kuwa kuna zawadi nimekununulia akataka kuijua zawadi nikamwambia no utaijua siku nikikupatia akasema poa!

Na uwa ananiambia anajua kupika sana, nikamuomba apike siku moja anialike akasema atapika siku ya kuzaliwa kwake na atatualika staff nzima nikamuuliza itakuwa lini? Hakuniambia akasema ni suprise, sasa nikawaza niifanye siku hiyo ya kumweleza hisia zangu kwa kumpelekea zawadi itakayokuwa inasema hisia zangu kwake je ni ipi wadau nisaidieni nampenda sana.

Unampenda au unamtamani huyo bosi wako????
 
Sijui uhalisia wa hii post lakini kama kuna kosa kubwa utafanya katika maisha yako ni hilo unaloliombea ushauri
-anaweza kuona dalili na akatia timu lakini kubali kifuatacho ITV
-anaweza kuwa mweledi na mwenye msimamo akakufukuza kazi
-anaweza kuwa ni fisi maji ukaishia kuumia
Epuka mahusiano na mtu anayekulipa mshahara

Epuka mahusiano na mtu anayekulipa mshahara...
 
Habari za jioni guys,

Tafadhari naomba mnisaidie katika ili, naomba niseme wazi mimi siyo timbulo.

Miezi mitatu iliyopita nimeajiliwa na kampuni moja hivi hapa mjini, hiyo kampuni ni ya wahindi na huyo dada ndo HR wa hii kampuni. Baada ya kuajiliwa nilimtumia ujumbe (txt) kumshukuru kwa kuona mimi naweza kufanya nao kazi, akanijibu kwa text akinileza ni jambo la kawaida katika maisha kikubwa ni focus kwenye kazi.

Katika mazingira ya kawaida nimejikuta naanza kumpenda kimapenzi na ninahisi hata yeye ananipenda pia, kwanini nasema na yeye ananipenda pia? Kuna siku tulikuwa na event hapa ofini kwetu mialiko ikatolewa kwa watu mbalimbali na nikamwalika rafiki wangu mmoja wa kike siyo mpenzi wangu wakati wa hafla ikiendelea nilikuwa na huyo rafiki yangu muda mwingi akanifata na kuniuliza mbona umemganda sana huyu dada, kuna mfanyakazi mwenzangu wa kike akamjibu ni wifi yetu huyo, akajibu muwe mnasema jamani akaondoka.

Kesho yake ofisini ikawa story kuhusu mimi na huyo wifi yao waliyenipatia.

Siku nyingine ikatokea safari nje ya mjini ya siku mbili tukatoka mimi, yeye na dereva jioni sasa wakati wa kutafuta hoteli ya kulala, bahati mbaya hotel tulipoenda tukakuta nafasi moja tu yeye akaichukua mimi na dereva tukaenda kutafuta mahali pengine tukaagana turudi pale tukishapata ili tukale chakula pamoja tukakubaliana hivyo.

Muda mchache akanipigia simu akakuta simu inatumika naongea na mtu, baada ya kukata akanipigia tena na akaniuliza ulikuwa unamuaga wifi nini? Na siyo mara moja kuniuliza hivyo nikamjibu mimi nipo single akacheka akaniuliza mmepata room nikamwambia yah! Akasema mje basi.

Nisiwachoshe ni mambo mengi sana, naomba mnisaidie ni jinsi gani ya kumfikishia ujumbe kuwa nampenda maana naogopa maana naweza kumweleza hilo jambo likazua mambo mengine mabaya maana natafuta maisha, niliwahi kumwalika chakula cha jioni akaniambia amechoka siku hiyo ana kazi ya ufuaji hivyo haitowezekana kwa siku hiyo

Uwa nachat nae na kumpigia simu nikitaka kuongelea hayo mambo uwa ananirudisha kwenye maswala ya kazi hata kama hamko kazini

Kuna siku nikamtext wasup kuwa kuna zawadi nimekununulia akataka kuijua zawadi nikamwambia no utaijua siku nikikupatia akasema poa!

Na uwa ananiambia anajua kupika sana, nikamuomba apike siku moja anialike akasema atapika siku ya kuzaliwa kwake na atatualika staff nzima nikamuuliza itakuwa lini? Hakuniambia akasema ni suprise, sasa nikawaza niifanye siku hiyo ya kumweleza hisia zangu kwa kumpelekea zawadi itakayokuwa inasema hisia zangu kwake je ni ipi wadau nisaidieni nampenda sana.


Hayo yote uliyo zungumza yanaweza kuwa ya kawaida sana na pengine hana hisia na wewe hata kidogo! Wewe ndo wampenda na focus hapo, ya yeye kukupenda achana nayo, go to her kwa sababu wewe wampenda na sip yeye anakupenda usije mkosea heshima bure
 
huu utoto kiapenzi sijui...ndio anakuenda wa maelezo hayo duh mapema mno...ofisini watiu wanashikana na takokabisa...embu tuliza pressurhizo...bora utumie uninja na sio hizo njia zako
 
Ni uwezo mdogo wa kufikiri tuu hebu lete namba ya huyo boss wako na kapicha kake nimtest then nkishajua udhaifu wake nitakupa details zake ili iwe rahisi ww kumgegeda
 
Hisia tu zinakusumbua mkuu hakuna la ziada hapo!!! Jifunze kutunza hisia zako kuna watu wengine kudeal nao inahitajika akili
Anyway kama una demu mwingine endelea nae huyo HR wako tupa kule ama acha muda uongee
 
Habari za jioni guys,

Tafadhari naomba mnisaidie katika ili, naomba niseme wazi mimi siyo timbulo.

Miezi mitatu iliyopita nimeajiliwa na kampuni moja hivi hapa mjini, hiyo kampuni ni ya wahindi na huyo dada ndo HR wa hii kampuni. Baada ya kuajiliwa nilimtumia ujumbe (txt) kumshukuru kwa kuona mimi naweza kufanya nao kazi, akanijibu kwa text akinileza ni jambo la kawaida katika maisha kikubwa ni focus kwenye kazi.

Katika mazingira ya kawaida nimejikuta naanza kumpenda kimapenzi na ninahisi hata yeye ananipenda pia, kwanini nasema na yeye ananipenda pia? Kuna siku tulikuwa na event hapa ofini kwetu mialiko ikatolewa kwa watu mbalimbali na nikamwalika rafiki wangu mmoja wa kike siyo mpenzi wangu wakati wa hafla ikiendelea nilikuwa na huyo rafiki yangu muda mwingi akanifata na kuniuliza mbona umemganda sana huyu dada, kuna mfanyakazi mwenzangu wa kike akamjibu ni wifi yetu huyo, akajibu muwe mnasema jamani akaondoka.

Kesho yake ofisini ikawa story kuhusu mimi na huyo wifi yao waliyenipatia.

Siku nyingine ikatokea safari nje ya mjini ya siku mbili tukatoka mimi, yeye na dereva jioni sasa wakati wa kutafuta hoteli ya kulala, bahati mbaya hotel tulipoenda tukakuta nafasi moja tu yeye akaichukua mimi na dereva tukaenda kutafuta mahali pengine tukaagana turudi pale tukishapata ili tukale chakula pamoja tukakubaliana hivyo.

Muda mchache akanipigia simu akakuta simu inatumika naongea na mtu, baada ya kukata akanipigia tena na akaniuliza ulikuwa unamuaga wifi nini? Na siyo mara moja kuniuliza hivyo nikamjibu mimi nipo single akacheka akaniuliza mmepata room nikamwambia yah! Akasema mje basi.

Nisiwachoshe ni mambo mengi sana, naomba mnisaidie ni jinsi gani ya kumfikishia ujumbe kuwa nampenda maana naogopa maana naweza kumweleza hilo jambo likazua mambo mengine mabaya maana natafuta maisha, niliwahi kumwalika chakula cha jioni akaniambia amechoka siku hiyo ana kazi ya ufuaji hivyo haitowezekana kwa siku hiyo

Uwa nachat nae na kumpigia simu nikitaka kuongelea hayo mambo uwa ananirudisha kwenye maswala ya kazi hata kama hamko kazini

Kuna siku nikamtext wasup kuwa kuna zawadi nimekununulia akataka kuijua zawadi nikamwambia no utaijua siku nikikupatia akasema poa!

Na uwa ananiambia anajua kupika sana, nikamuomba apike siku moja anialike akasema atapika siku ya kuzaliwa kwake na atatualika staff nzima nikamuuliza itakuwa lini? Hakuniambia akasema ni suprise, sasa nikawaza niifanye siku hiyo ya kumweleza hisia zangu kwa kumpelekea zawadi itakayokuwa inasema hisia zangu kwake je ni ipi wadau nisaidieni nampenda sana.
Kinachokutisha ni nini..?
1. kazi au?
2. Udomo zege au?

By the way, una historia ya kuhofia kutongoza kama hivyo..??
 
Sijui uhalisia wa hii post lakini kama kuna kosa kubwa utafanya katika maisha yako ni hilo unaloliombea ushauri
-anaweza kuona dalili na akatia timu lakini kubali kifuatacho ITV
-anaweza kuwa mweledi na mwenye msimamo akakufukuza kazi
-anaweza kuwa ni fisi maji ukaishia kuumia
Epuka mahusiano na mtu anayekulipa mshahara
ujumbe mzuri sana doctor
 
[quote uid=158380 name="KikulachoChako" post=17288830]Kuna nyakati kwenye maisha yetu...tunatakiwa kutambua namna ya kudeal na hisia zetu......hasa katika mazingira ambayo si muafaka kwa hilo unalotaka kulifanya......,<br />Na njia muafaka ya kudeal na hali hiyo na kuangalia ni kuangalia hasara na madhira ya wewe kutenda hilo ambalo hisia zako zinakutuma kulifanya........<br /><br />Hisia za matamanio ni za kawaida kwa kila mwanamume aliye kamirika.....lakini si lazima kukidhi kila haja za matamanio hayo.......na huo ni ukomavu wa kiume......<br /><br />Unatakiwa baadhi ya mambo uyapuuzie kwa manufaa ya mambo mengine muhimu zaidi kwenye maisha yako.......<br /><br />BE A GENTLEMAN......[/QUOTE]<br />Huu ushauri uçhukue mkuu.Usipoangalia na kibarua kitaota nyasi
 
Kamanda inabidi uwe mpole jipe mda feeling za
mapenzi utazijua ila kwa sasa unaweza ukaharibu mambo Mapema kabisa.
Madem wengine wana mazoea ya ajabu ana weza hata akakukiss we ukaona hapa penyewe kumbe mwenzio ana act normal tu mwisho wa siku UKAJITUMBUA ....
 
Chonde chonde usijaribu kusema mkuu, wanawake hawa acha tu anaeza akapata point kupitia ww, udomo zege uache hivo hivo
 
Back
Top Bottom