Nampenda boss wangu aliyeniajiri

Nampenda boss wangu aliyeniajiri

Masikini akipata matako hupwetapweta kwani hakuna wanawake wengine usichanganye mapenz na kazi kijana utajuta na kulia na bahati hailudi mara 2.
 
Nenda naye taratibu bila kuonyesha kwamba unataka kumvua chupi. Mualike dinner mahali palipotulia muwe wenyewe wawili tu lakini usitie neno la kimapenzi ili umsome kwa karibu na maongezi yenu yasihusu mambo ya kazi.
 
Sijui uhalisia wa hii post lakini kama kuna kosa kubwa utafanya katika maisha yako ni hilo unaloliombea ushauri
-anaweza kuona dalili na akatia timu lakini kubali kifuatacho ITV
-anaweza kuwa mweledi na mwenye msimamo akakufukuza kazi
-anaweza kuwa ni fisi maji ukaishia kuumia
Epuka mahusiano na mtu anayekulipa mshahara
Mkuu ukisema(ga) fisi maji na [emoji28] [emoji28] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sanaaa
 
Mmmmmmh! unataka kujitia dhiki ya roho ujute kupenda,kwanza ningekua mimi kama kuna kitu sitoweza fanya niku pendana na mfanyakazi mwenzangu regardless awe boss au yoyote yule ndani ya offisi moja.
 
Fanya kazi kijana mapenzi na bosi huwa hayana mwisho mzuri
 
Sijui uhalisia wa hii post lakini kama kuna kosa kubwa utafanya katika maisha yako ni hilo unaloliombea ushauri
-anaweza kuona dalili na akatia timu lakini kubali kifuatacho ITV
-anaweza kuwa mweledi na mwenye msimamo akakufukuza kazi
-anaweza kuwa ni fisi maji ukaishia kuumia
Epuka mahusiano na mtu anayekulipa mshahara
Kwa kifupi, akubali kifuatacho ITV..........
 
Kuna nyakati kwenye maisha yetu...tunatakiwa kutambua namna ya kudeal na hisia zetu......hasa katika mazingira ambayo si muafaka kwa hilo unalotaka kulifanya......,
Na njia muafaka ya kudeal na hali hiyo na kuangalia ni kuangalia hasara na madhira ya wewe kutenda hilo ambalo hisia zako zinakutuma kulifanya........

Hisia za matamanio ni za kawaida kwa kila mwanamume aliye kamirika.....lakini si lazima kukidhi kila haja za matamanio hayo.......na huo ni ukomavu wa kiume......

Unatakiwa baadhi ya mambo uyapuuzie kwa manufaa ya mambo mengine muhimu zaidi kwenye maisha yako.......

BE A GENTLEMAN......


well said anatakiwa kujiongeza
 
unatakiwa uwezi kutofautisha matamanio na upendo wa dhati .
la kufanya usiwe na haraka mpe tym jipe tym tengeneza mazingira ya kuwa marafiki ili mjuaje vizuri iwapo mtaweza kwenda sawa pia je yeye hana mtu yupo single?

unatakiwa kuwa smart coz ukifanya one wrong move u r out kuwa makini na hili jambo.

na kama unaona na yeye anakupenda itakuwa more simple ila play ur card right
be smart n be a gentleme.
 
Mkuu usimtongoze make her a friend very closer friend amini utamtia bila kumtongoza mkitoka unapomuaga hug her Pima upepo akikuhagi tulia next time kiss her... Nenda taratibu iliwahi nitokea siku mtajikuta mmeshazini bila kutongozana
 
Mkuu unefikia katika hatua nzuri sana ila fanya yafuatayo

1)Pungunza speed n.a. hisia juu ya huyo HR ukiliweza hili lazima utampata

2)baada ya kupunguza hsia na speed utakuwa unajiamini hvyo utaweza kumpima kama anakupenda pia

3)vuta handbrake mwangalie atasemaje au itamgusa kiasi gani baada ya hapo mweleze ukweli kama hatostuka ujue alikuwa anakutega

Onyo:Mapenzi na kazi ni sawa na TUNDU LISU NA WANASHERIA WA SERIKALI kuwa makini mtajikuta wote mpo mtaani
 
Back
Top Bottom